Uganda sasa wametuzidi kwa demokrasia!

Uganda sasa wametuzidi kwa demokrasia!

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,585
Reaction score
14,903
Uganda pamoja na matatizo yao yote ya Museveni kuwepo kwa muda mrefu Uchaguzi wao umekuwa huru kuliko wetu wa 2020.

Pamoja na matatizo yao wana wabunge wengi wa upinzani kuliko sisi, hakuna tatizo kwenye kujumlisha kura, hakuna mabox ambayo yameshikwa na kura feki.

Ni ajabu lakini ndiyo ukweli Tanzania sio nchi ya kidemokrasia tena kuanzia mwezi huu. Kibaya zaidi sasa viongozi wa serikali na majeshi wanaona kazi yao ni kuhakikisha CCM wanachaguliwa kama hao viongozi wanataka kubaki madarakani!.

Hivyo bila watu kupigania uhuru sheria za ajabu zitaanza kutungwa lakini vilevile tukipata rais mkabila, mdini au mlarushwa nchi yetu kwa miaka michache tu inaweza kurudi nyuma sana.

Demokrasia ni muhimu sana lakini vilevile viongozi ambao hawajachaguliwa na watu kwa upendo hawataweza kupata heshima kwenye majimbo yao.

Magufuli watu watamtumia kwa manufaa binafsi hasa kwenye kubadilisha sheria kabla hajaondoka. Vilevile kuna ambao watataka aongezewe muda au raisi wa maisha kama Musevi lakini mioyo ya Watanzania wanaoenda uhuru .
 
Uganda pamoja na matatizo yao yote ya Museveni kuwepo kwa muda mrefu Uchaguzi wao umekuwa huru kuliko wetu wa 2020.

Pamoja na matatizo yao wana wabunge wengi wa upinzani kuliko sisi, hakuna tatizo kwenye kujumlisha kura, hakuna mabox ambayo yameshikwa na kura feki.

Ni ajabu lakini ndiyo ukweli Tanzania sio nchi ya kidemokrasia tena kuanzia mwezi huu. Kibaya zaidi sasa viongozi wa serikali na majeshi wanaona kazi yao ni kuhakikisha CCM wanachaguliwa kama hao viongozi wanataka kubaki madarakani!.

Hivyo bila watu kupigania uhuru sheria za ajabu zitaanza kutungwa lakini vilevile tukipata rais mkabila, mdini au mlarushwa nchi yetu kwa miaka michache tu inaweza kurudi nyuma sana.

Demokrasia ni muhimu sana lakini vilevile viongozi ambao hawajachaguliwa na watu kwa upendo hawataweza kupata heshima kwenye majimbo yao.

Magufuli watu watamtumja kwa manufaa yao binafsi.
Nisomee mstari wa mwisho mkuu🙂🙂
 
Uganda wana Demokrasia gani?

Nchi za East Africa na Africa kwa ujumla vyama tawala vyote vinafanana kwa visa na mikasa...




Cc: mahondaw
 
Uganda pamoja na matatizo yao yote ya Museveni kuwepo kwa muda mrefu Uchaguzi wao umekuwa huru kuliko wetu wa 2020.

Pamoja na matatizo yao wana wabunge wengi wa upinzani kuliko sisi, hakuna tatizo kwenye kujumlisha kura, hakuna mabox ambayo yameshikwa na kura feki.

Ni ajabu lakini ndiyo ukweli Tanzania sio nchi ya kidemokrasia tena kuanzia mwezi huu. Kibaya zaidi sasa viongozi wa serikali na majeshi wanaona kazi yao ni kuhakikisha CCM wanachaguliwa kama hao viongozi wanataka kubaki madarakani!.

Hivyo bila watu kupigania uhuru sheria za ajabu zitaanza kutungwa lakini vilevile tukipata rais mkabila, mdini au mlarushwa nchi yetu kwa miaka michache tu inaweza kurudi nyuma sana.

Demokrasia ni muhimu sana lakini vilevile viongozi ambao hawajachaguliwa na watu kwa upendo hawataweza kupata heshima kwenye majimbo yao.

Magufuli watu watamtumia kwa manufaa binafsi hasa kwenye kubadilisha sheria kabla hajaondoka. Vilevile kuna ambao watataka aongezewe muda au raisi wa maisha kama Musevi lakini mioyo ya Watanzania wanaoenda uhuru .
Yanayoendelea uganda huyajui.
Mali za Bob wine zinaharibiwa hovyo yakiwemo magari wapinzani wanateswa vibaya mno.

Ni mipaka tu ila kila kitu ni kile kile.
 
Upinzani afrika unatreatiwa sawa na corona, mtawala wa kiafrica ni rahisi kukuachia mkewe kuliko kukuachia kiti chake
 
Back
Top Bottom