Huyo mchunga kondoo wa bwana amelewa mvinyo anaposema wafanyakazi. Wa serikali walipe fungu LA kumi kwa kukatwa kwenye mishahara yao , INA maana waumini ni watumishi wa umma tu?!Nabadilisha dini embu waache huo upuuzi, kwani kanisa linawalipa hao waumini? Au wauumini wote wa hilo kanisa wana kazi?