Uganda: Askofu aitaka serikali kukata fungu la kumi katika mishahara ya waumini wao

Nabadilisha dini embu waache huo upuuzi, kwani kanisa linawalipa hao waumini? Au wauumini wote wa hilo kanisa wana kazi?
Huyo mchunga kondoo wa bwana amelewa mvinyo anaposema wafanyakazi. Wa serikali walipe fungu LA kumi kwa kukatwa kwenye mishahara yao , INA maana waumini ni watumishi wa umma tu?!
 
Haya majina ya cyprian sijui yana shida gani?

Huku bongo tuna cyprian msiba.
Mkuu ni kweli namfahamu jamaa mmoja ana jina hilo, yule jamaa ni chenga ila anavaa vizuri sana na anamwonekano mzuri ila hapendi ufanikiwe na hatokupa taarifa muhimu za wewe kufanikiwa. Hayo majina ni chenga sana
 
Haya majina ya cyprian sijui yana shida gani?

Huku bongo tuna cyprian msiba.
Wewe huyu cyprian Kizito Lwanga ni baba Askofu mkuu iko kwenye kamati kuu ya Vatican inayo changua Mtakatifu papa...... usimlinganishe na Popo la CCM. Ambalo ni empty pumpkin
 
Mkuu ni kweli namfahamu jamaa mmoja ana jina hilo, yule jamaa ni chenga ila anavaa vizuri sana na anamwonekano mzuri ila hapendi ufanikiwe na hatokupa taarifa muhimu za wewe kufanikiwa. Hayo majina ni chenga sana
Hahah aisee itabd na wengine watupe experience zao kutokana na jina hilo maana mpk hapa umesha confirm nilichokua nakifiria mkuu,hahah
 
Wewe huyu cyprian Kizito Lwanga ni baba Askofu mkuu iko kwenye kamati kuu ya Vatican inayo changua Mtakatifu papa...... usimlinganishe na Popo la CCM. Ambalo ni empty pumpkin
Wewe achana na cheo chake,mimi naongelea jina la cyprian.
 
Kutoa ni moyo! Kama sitaki usinilazimishe, la sivyo itakuwa ni wizi! Serikali itakuwa na kazi ya kutambua dini za watu na kukata asilimia 10. Njaa imekaba!
 
Serikali inakusanya kodi inaboresha huduma za jamii kama barabara, hospital, n.k. Wao hizo 10% wanazitumiaje?
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom