Yesu na si yesuUshindwe na ulegee kwa jina la kristo yesu
Nakuona unamtangaza lucifer kwa nguvu zote. Ushindwe kwa jina la yesu
Kumbe Kakobe alikuwa sahihi!Maombi, toba na msamaha... Msamaha na nisamehe huua na kufisha roho ya kisasi na laana juu ya uso wa nchi
Alegee vipi,hio ni elimu kubwa huwezi elewa,labda km umesoma elimu ya universe,elimu ni pana.Ushindwe na ulegee kwa jina la kristo yesu
Nakuona unamtangaza lucifer kwa nguvu zote. Ushindwe kwa jina la yesu
Kinabii damu zilizomwagwa na watu wasiojulikana ni laana Kwa taifa yahitajika toba ya msamaha ili roho zilizozulumiwa ziende kwa amani, maana zitalipa kisasi kwa chain yote iliyohusika.Kwa uelewa zaidi soma Kuhusu universe (laws of nature).Habari za kuondosha madhabahu za giza... Au za kuondoa laana ya visasi kwenye ardhi na kufisha nguvu ya vita vya kiroho na kafara za visasi ni jambo kubwa gumu na lenye kuhitaji kujitoa taifa zima... Na hili litawezekana tu kama tutaamua kuvaa mioyo nyofu ya nyama na kuachana na kiburi na kuwa tayari kwa toba na msamaha kwa njia ya kusameheana ili kuua roho ya laana na kisasi
Viongozi wetu wanaijua hii tafakuri?Kinabii damu zilizomwagwa na watu wasiojulikana ni laana Kwa taifa yahitajika toba ya msamaha ili roho zilizozulumiwa ziende kwa amani, maana zitalipa kisasi kwa chain yote iliyohusika.Kwa uelewa zaidi soma Kuhusu universe (laws of nature).
Kila iambo ni pande mbil...;Huyo Lucifer hata asiposemwa atakuwepo tu maadam Mungu yupo.
Ni kitu gani unachoweza kusema kipo kimoja?
Mungu - Shetani
Mchana - Usiku
East - West, etc
100% true!kuna kitu kimoja duniani,naam,viwili ambavyo ukidhulumu havitakuacha salama;DAMU na JASHO la mtu.
Shiriki huondoa uwezo wa kufikiri,wengi uangukia pia.Viongozi wetu wanaijua hii tafakuri?
Mugabe amekiri aliua sana enzi zake, kwa hiyo atafanyaje sasaHakuna kitu kina harufu kali kama damu ya mtu... Itakunukia hata usingizini
Kweli aiseeeSi unamuona mwisho wake ulivyo