Ufunuo wa anguko la uharibifu

Ufunuo wa anguko la uharibifu

.
cd112f4268ab62ed8588dfd232866327.jpg
 
Hivi kweli kabisa tumekosa weledi kiasi cha kutowawajibisha wahariri na waandishi kama hawa?
83f83cb401cc2bce7cce1c1ff4df73fd.jpg
 
Ushindwe na ulegee kwa jina la kristo yesu

Nakuona unamtangaza lucifer kwa nguvu zote. Ushindwe kwa jina la yesu
Alegee vipi,hio ni elimu kubwa huwezi elewa,labda km umesoma elimu ya universe,elimu ni pana.
 
Habari za kuondosha madhabahu za giza... Au za kuondoa laana ya visasi kwenye ardhi na kufisha nguvu ya vita vya kiroho na kafara za visasi ni jambo kubwa gumu na lenye kuhitaji kujitoa taifa zima... Na hili litawezekana tu kama tutaamua kuvaa mioyo nyofu ya nyama na kuachana na kiburi na kuwa tayari kwa toba na msamaha kwa njia ya kusameheana ili kuua roho ya laana na kisasi
Kinabii damu zilizomwagwa na watu wasiojulikana ni laana Kwa taifa yahitajika toba ya msamaha ili roho zilizozulumiwa ziende kwa amani, maana zitalipa kisasi kwa chain yote iliyohusika.Kwa uelewa zaidi soma Kuhusu universe (laws of nature).
 
Kinabii damu zilizomwagwa na watu wasiojulikana ni laana Kwa taifa yahitajika toba ya msamaha ili roho zilizozulumiwa ziende kwa amani, maana zitalipa kisasi kwa chain yote iliyohusika.Kwa uelewa zaidi soma Kuhusu universe (laws of nature).
Viongozi wetu wanaijua hii tafakuri?
 
Nimembuka ajali ya MV Bukoba ilivyua wengi wasio na hatia enzi ya utawala wa BM..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom