Ufunuo wa anguko la uharibifu

Ufunuo wa anguko la uharibifu

Lakini si ni vizuri baba mwenye nyumba akaanza kutubu kisha ndio watoto nao wafuate
Ni jukumu letu sote kwa umoja wetu bila kujali tofauti zetu.. Mkubwa amwombee mdogo.... Mdogo amwombee mkubwa bila kinyonga bila fadhaa bila tahadhari bila taharuki bila agenda isiyoakisi uhalisia bali kwa weledi kweli na kumaanisha
 
Ni jukumu letu sote kwa umoja wetu bila kujali tofauti zetu.. Mkubwa amwombee mdogo.... Mdogo amwombee mkubwa bila kinyonga bila fadhaa bila tahadhari bila taharuki bila agenda isiyoakisi uhalisia bali kwa weledi kweli na kumaanisha
 
Habari za kuondosha madhabahu za giza... Au za kuondoa laana ya visasi kwenye ardhi na kufisha nguvu ya vita vya kiroho na kafara za visasi ni jambo kubwa gumu na lenye kuhitaji kujitoa taifa zima... Na hili litawezekana tu kama tutaamua kuvaa mioyo nyofu ya nyama na kuachana na kiburi na kuwa tayari kwa toba na msamaha kwa njia ya kusameheana ili kuua roho ya laana na kisasi
 
Habari za kuondosha madhabahu za giza... Au za kuondoa laana ya visasi kwenye ardhi na kufisha nguvu ya vita vya kiroho na kafara za visasi ni jambo kubwa gumu na lenye kuhitaji kujitoa taifa zima... Na hili litawezekana tu kama tutaamua kuvaa mioyo nyofu ya nyama na kuachana na kiburi na kuwa tayari kwa toba na msamaha kwa njia ya kusameheana ili kuua roho ya laana na kisasi
Watoto tupo tayari kwa hilo, kwasababu tunapenda kuishi kwa amani daima, hatupendi mifarakano hata kama inatokea mama zetu ni tofauti, TATIZO LIPO KWA BABA YEYE NDIO WA KUSHAWISHIWA ILI AONGOZE SALA HII YA TOBA
 
Watoto tupo tayari kwa hilo, kwasababu tunapenda kuishi kwa amani daima, hatupendi mifarakano hata kama inatokea mama zetu ni tofauti, TATIZO LIPO KWA BABA YEYE NDIO WA KUSHAWISHIWA ILI AONGOZE SALA HII YA TOBA
Sio yeye ndio tatizo... Sisi ndio hatujawa tayari.... Wengi hawawezi kushindwa na mmoja
 
Screenshot_15.jpg
wanakudaka baada ya kukufuatilia nyendo zako... Ni wale wasiojulikana... Watakupamba kwa lugha tamu kuwa hawana tatizo nawe mnaenda kwao utarudi salama kwako kukichwa ama kukicha.... Lakini jua ndio jua lako la mwisho hilo
Kitambo kidogo baadae utakula kitambaa cheusi usoni na pingu mikononi... Kwa nyuma.... Kisha mkifika utaiona jehanum ya duniani... Utamuona shetani na wasaidizi wake.. Utaminywa mpaka utaongea neno la mwisho.... Kishapo hawana faida nawe tena... Ndani ya sandarusi ni moto bati Mon stop mpaka kule kina kirefu.. Ukawe chakula cha udaga
Zitabaki story babaako aliondoka hakurudi tena.... Ulikuwa na miaka mitatu... pengine wakati huo tutakuwa tumeukomboa wakati... Pengine kutakuwa na maridhiano na kutakuwa hakuna kupotea kwa wanakaya tena... Kwa wingi wake.. Pengine hofu haitakuwepo tena juu ya mateso juu ya usalama juu ya kupotezwa..... Pengine kama njia ya kuponya majeraha na kutamatisha muhali tutaambiwa fulani alizikwa pale.. Fulani alitupwa kule... Pengine tutaambiwa....
 
Ee Mungu tufumbue macho wanao ili tujue na kuona yaliyofichwa nyuma ya pazia jeusi.

Huu uzi nimeuona tangu saa 8 usiku ila picha uloiweka ndugu Mshana Jr na maneno hayo yaliyomo yalinitisha sana. Nikalala tu.

Umeongea mambo mazito mno na pengine wengi hawatambui kama yapo haya.

Unapoona umeshinda na kulala na kuamka salama. Mshukuru sana Mungu wako kwa maombi na sala nzito ya kumaanisha.
 
Ee Mungu tufumbue macho wanao ili tujue na kuona yaliyofichwa nyuma ya pazia jeusi.

Huu uzi nimeuona tangu saa 8 usiku ila picha uloiweka ndugu Mshana Jr na maneno hayo yaliyomo yalinitisha sana. Nikalala tu.

Umeongea mambo mazito mno na pengine wengi hawatambui kama yapo haya.

Unapoona umeshinda na kulala na kuamka salama. Mshukuru sana Mungu wako kwa maombi na sala nzito ya kumaanisha.
Sorry kwa picha lakini ndio kiwakilishi cha uhalisia... Tunaishi zama za madubwana ambayo kiingereza yanaitwa vampires... Lakini je tunapaswa kulaumu? Jibu ni hapana yatoakeayo ni unabii unaopaswa kutokea.. Nguvu iliyo juu ya uwezo wa kawaida wa kibinadamu kuzuia...
 
Sorry kwa picha lakini ndio kiwakilishi cha uhalisia... Tunaishi zama za madubwana ambayo kiingereza yanaitwa vampires... Lakini je tunapaswa kulaumu? Jibu ni hapana yatoakeayo ni unabii unaopaswa kutokea.. Nguvu iliyo juu ya uwezo wa kawaida wa kibinadamu kuzuia...
Nguvu na uwezo wa kujikinga tunao ndugu Mshana Jr, tatizo ni kwamba tumemsahau na kumuacha Mungu muweza yote anayetupatia hiyo nguvu.

Tuko busy na Pesa, kazi na mapenzi. Ibirisi naye kwa kuhofia kupoteza waumini wake kakazia hapo hapo!!

Pesa - noma sana sana
Kazi - noma sana,
Mapenzi - hapa ndiyo usiseme sasa.
 
Nguvu na uwezo wa kujikinga tunao ndugu Mshana Jr, tatizo ni kwamba tumemsahau na kumuacha Mungu muweza yote anayetupatia hiyo nguvu.

Tuko busy na Pesa, kazi na mapenzi. Ibirisi naye kwa kuhofia kupoteza waumini wake kakazia hapo hapo!!

Pesa - noma sana sana
Kazi - noma sana,
Mapenzi - hapa ndiyo usiseme sasa.
Taharuki na kichokoo cha yote haya ni pale baada ya kutangazwa mshindi wa kiti cha nafasi ya juu... Na yule wakala aliyekuja nchini akakanyaga ardhi yetu bila viatu
 
Ushindwe na ulegee kwa jina la kristo yesu

Nakuona unamtangaza lucifer kwa nguvu zote. Ushindwe kwa jina la yesu
UNATUMIA VIBAYA JINA LA CHRISTO. TUNAISHI KATIKA KIPINDI CHA ROHO YA MAUAJI, UTEKAJI NA UTESAJI.HIVYO HATUNA BUDI KUMRUDIA MUNGU NA KUMWOMBA ATUEPUSHE NA HAYA MABAYA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom