Ufunuo: Hatari kubwa CHADEMA

Ufunuo: Hatari kubwa CHADEMA

Tumeanza na Mungu na tutamaliza na Mungu, people'sssss powerrrr!? Haya tuchangeni sasa pesa za kukiendesha chama. Lema chukua kapu na uzunguke kuchukua michango ya makamanda. People'sssss powerrrr!? Mwisho wa siku pesa zinazochangwa na wafuasi walalahoi zinatumika katika utalii wa slaa na demu wake, zinajengewa mahekalu ya viongozi wa chadema bongo na ughaibuni n.k na mwisho ni people's power.

unahangaika bure,nenda kawachangie magamba wenzio na mambo ya cdm achana nayo hayakuhusu wewe gamba
 
Chadema ni chama cha demokrasia,yanayoendelea ni michakato ya Kawaida katika demokrasia.Chamsingi malengo mahususi yanafikiwa ifikapo2015.
Wasaliti ni wakuangaliwa kwa tahadhari kubwa kutumia intelijensia na wadhibitiwe mapema wasije tuondoa kwenye reli tukashindwa kufikia malengo 2015.

Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
 
Viongozi wa CHADEMA muwe mnawapa na chakula hawa vijana sio mnawapa viroba tu!

kweli njaa mbaya.yaani unawaza msosi tu? ndo maana huwa mnapewa wali ili myapigie kura magamba.inaonekana bei yako wewe ni wali tu.
 
Wewe ni Nabii au Mtume? au ni Nabii na Mtume kama Mwingira?

Mungu huwa anasema na yyt kwa habari ya yyt/taifa/nchi sio lzm uwe mchungaji,mtumishi, nabii, mtumw nk.

Anaweza akakupa ht ww ujumbe kuhusu nchi yako ht raisi wako
So hilo sio tatizo km inakuwa ni kweli Mungu anahusika.hapo ndo pana tatizo mkuu
 
Tatizo kubwa la nabii huyu amekwenda kinyume na unabii ambao ulisha wahi kutolewa kuwa KIKWETE ni chaguo la mungu.Angezidi kuukazia huu unabii au angebadilisha kidogo tu pale kwa Kikwete akaweka Magamba huyu nabii angeweza kushangiliwa kwa vifijo na ndelemo hata kama katoa unabii wa uwongo.
 
Tumeanza na Mungu na tutamaliza na Mungu, people'sssss powerrrr!? Haya tuchangeni sasa pesa za kukiendesha chama. Lema chukua kapu na uzunguke kuchukua michango ya makamanda. People'sssss powerrrr!? Mwisho wa siku pesa zinazochangwa na wafuasi walalahoi zinatumika katika utalii wa slaa na demu wake, zinajengewa mahekalu ya viongozi wa chadema bongo na ughaibuni n.k na mwisho ni people's power.
bora kuchangisha, kuliko kuhongwa suti na kuuza tembo na twiga.chama chetu cha majambazi chauza nchi.knana ha,lwasa ha,mwgulu ha.chauza nchi.imba
 
chama kinaongozwa na mambumbu wa kila kitu.
 
Tafadhali fafanua hilo wingu ambalo walitakiwa walifuate ili km wamakosea watubu na warejee tena na kusonga mbele. Mungu
kakufunulia guo ufunuo, ingia magotini usimame palipobomoka km kweli ww ni mtanzania mwenye nia njema simama kwenye zamu yako.
 
Hiki ndio kibwagizo cha makamanda "TUMEANZA NA MUNGU NA TUTAMALIZA NA MUNGU "halafu mwisho utawasikia wakiimbishana peole's power. Mimi naichukulia kauli hii kama dhihaka kwa Mwenyezi Mungu alietasika na utukufu.

Kumbe mmeanza na MUNGU katika kufanya haya maovu yenu yafuatayo?


  • Mmeanza na Mungu kula ruzuku ya chama mnayopokea kutoka serikalini katika kujenga mahekalu kwa kisingizio @ katibu mkuu hawezi kuendelea kuishi katika nyumba ya kupanga ni hatari kwa usalama wake. Hivi kujimilikisha kienyeji pesa ambayo inatokana na kodi ya walalahoi ambao hata mlo mmoja wa siku kwao imekuwa ni kitendawili MUNGU anapenda?
  • Mmeanza na Mungu kuratibu mipango miovu ya kuwadhuru watanzania ili kijitengenezea mazingira ya kuonewa huruma na wananchi na mwisho kufanikiwa kwa lengo lenu la kuingia ikulu? Hivi kweli MUNGU anapenda vitendo hivyo? Kumbukeni mlichofanya pale Arusha kulipua mabomu katika mkutano wenu na kufuatiwa na mkusanyiko batili ambao ulipelekea kupotea maisha ya watu akiwamo kijana mdogo Mussa Mtoi aliekuwa anatoka kwenye mambo yake. Kumbukeni igunga, Mauaji ya daudi Mwangosi, kifo cha marehemu chacha Wange ambacho inasemekana kimeratibiwa na Mbowe, kumbukeni habari za sumu, kulegeza tairi za gari la zitto ili kumuua, n.k.
  • Mmeanza na Mungu kuwasingizia binadamu wenzenu kuwa ni mafisadi kisa tu wanataka kugombania nafasi mbalimbali za juu katika chama chenu?.
  • Mmeanza na Mungu sikuhizi kudai posho ziongezwe kwa wabunge huku mkijinadi kama watetezi wa wanyonge?.
  • Mmeanza na Mungu kwenda kujenga majumba ya kifahari ughaibuni huku mkiwashakiza walalahoi waaandamane ili kikinuka nyinyi mkimbilie nje ya nchi mkale zenu kuku kwa mirija mkiwaacha walalahoi wakiteseka?

  • Mmeanza na Mungu kueneza chuki miongoni mwenu ya kuwachukia na kuwabagua wanachama wenzenu kwa madai ya kinafiki yasio na ushahidi wa kueleweka?.
​ To mention a few.

Nakuombeni mumheshimu MUNGU na msililitaje bure jina la Mungu hata maandiko yatuonya ya kwamba "usilitaje bure jina Mungu wako".
Akhsanteni kwa kunisoma.

kumbuka aliyeleta uzi anasema yeye sio mwanasiasa. hapo povu la nini kwa CDM? Kwa nini usijadili hoja?

mtela mada katumia common shenzi kutoa ujinga huu nawe unashadidia. naamini CHADEMA, kama vyama vingine kina wanachama na wafuasi wakristo lakini hakiwezi kuongoza mambo yake kidini.
huyu ni mdini kama wadini wengine!
mpuuze!
 
Back
Top Bottom