Majaribu2013
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 952
- 1,050
Wanajukwaa,
Kwanza nianze kwa kutanabaisha mi si mwanasiasa, sina chama na sipendi siasa lakini siku kadhaa nilipata mafunuo haya, nikaamua kunyamaza cha ajabu nafsi inaniuma sana na mengi yameanza kutokea wacha niseme ukweli.
1. Kuna hatari kubwa sana inakuja CHADEMA endapo uongozi wa chama hiki hautachukulia umuhimu unabii huu. Katika mafunuo haya nimethibitishiwa kwamba Mungu anampango wa kuliokoa taifa la Tanzania kupitia chama hiki, na amesema ni lazima ataonyesha uwezo wake viongozi wa CHADEMA muondoe wasiwasi.
2. Hatari kubwa inayoweza kuwapata mtakuwa na mapigo makali sana kwa sababu ya kwenda kinyume na taratibu au njia Mungu aliyowapangia. Hamfuati lile wingu lilikuwa linaongoza wana wa Israel, mnataka kufanya kama Yona ole wenu kwani hata vifo vitawapata. Kwanini mnaogopa wakati Mungu yu nanyi? Hatari kubwa sana.
Hatua za kuchukua.
1. Zipuuzieni tuhuma zote zinazotolewa na CCM mwangalieni nyoka wa shaba, achaneni na hawa nyoka wadogo wadogo.
2. Mnatakiwa kufanya maamuzi magumu bila kupenda, njia ya wazi imewekwa machoni kwenu. Kuna kiongozi mmoja mkubwa ndani yenu si wa KWENU ni Yuda ndani ya wanafunzi wa Yesu msiogope huyu hatafanya kitu juu yenu ila mnatakiwa mumuondoe mapema
iwezekanavyo, hana madhara kwa wanachama kama mnavyodhani. Huyu anajulikana na anajadiliwa sana saivi kwa usaliti.
3. 2015 mtashinda ila kutakuwa na vita vikali sana msipofuata haya hamtaingia IKULU na kutatokea vita Tanzania. CCM wataiba sana kura, na watajitangaza washindi.
Katika hili fanyeni hivi,
Mungu anasema hamtashinda kwa kupambana nao vita au kusimamia kura, ila mnatakiwa kuwa na kikundi cha sifa na maombi, na kianze kazi sasa. Nyinyi mtamwimbia Mungu na atawapigania nyinyi mtakuwa mnamwimbia nayeye anawapigania kama taifa la mfalme
Yehoshafati.
Niko tayari kuwasaidia katika hili la timu ya maombi.
Zaidi tuwasiliane.
Kwanza nianze kwa kutanabaisha mi si mwanasiasa, sina chama na sipendi siasa lakini siku kadhaa nilipata mafunuo haya, nikaamua kunyamaza cha ajabu nafsi inaniuma sana na mengi yameanza kutokea wacha niseme ukweli.
1. Kuna hatari kubwa sana inakuja CHADEMA endapo uongozi wa chama hiki hautachukulia umuhimu unabii huu. Katika mafunuo haya nimethibitishiwa kwamba Mungu anampango wa kuliokoa taifa la Tanzania kupitia chama hiki, na amesema ni lazima ataonyesha uwezo wake viongozi wa CHADEMA muondoe wasiwasi.
2. Hatari kubwa inayoweza kuwapata mtakuwa na mapigo makali sana kwa sababu ya kwenda kinyume na taratibu au njia Mungu aliyowapangia. Hamfuati lile wingu lilikuwa linaongoza wana wa Israel, mnataka kufanya kama Yona ole wenu kwani hata vifo vitawapata. Kwanini mnaogopa wakati Mungu yu nanyi? Hatari kubwa sana.
Hatua za kuchukua.
1. Zipuuzieni tuhuma zote zinazotolewa na CCM mwangalieni nyoka wa shaba, achaneni na hawa nyoka wadogo wadogo.
2. Mnatakiwa kufanya maamuzi magumu bila kupenda, njia ya wazi imewekwa machoni kwenu. Kuna kiongozi mmoja mkubwa ndani yenu si wa KWENU ni Yuda ndani ya wanafunzi wa Yesu msiogope huyu hatafanya kitu juu yenu ila mnatakiwa mumuondoe mapema
iwezekanavyo, hana madhara kwa wanachama kama mnavyodhani. Huyu anajulikana na anajadiliwa sana saivi kwa usaliti.
3. 2015 mtashinda ila kutakuwa na vita vikali sana msipofuata haya hamtaingia IKULU na kutatokea vita Tanzania. CCM wataiba sana kura, na watajitangaza washindi.
Katika hili fanyeni hivi,
Mungu anasema hamtashinda kwa kupambana nao vita au kusimamia kura, ila mnatakiwa kuwa na kikundi cha sifa na maombi, na kianze kazi sasa. Nyinyi mtamwimbia Mungu na atawapigania nyinyi mtakuwa mnamwimbia nayeye anawapigania kama taifa la mfalme
Yehoshafati.
Niko tayari kuwasaidia katika hili la timu ya maombi.
Zaidi tuwasiliane.