Ashura9
JF-Expert Member
- Oct 21, 2012
- 740
- 485
MTOTO: Baba kuna tofauti gani kati ya kilichopo katikati ya mapaja ya mama na mapaja yako?
BABA: Kwa mama yako kuna geti la kuingilia PARADISO. Na kwangu kuna ufunguo wa kufungulia hilo geti..
MTOTO: Ulimpa mtu yeyote ufunguo?
BABA: Hapana! Kwanini?
MTOTO: Badili kufuli, yule jirani yetu atakuwa amechongesha ufunguo. Ukiondoka huwa anakuja kufungua. Akifungua
mama anapiga kelele sana. Itakuwa funguo yake kubwa sana. Ataharibu kufuli!
BABA: Kwa mama yako kuna geti la kuingilia PARADISO. Na kwangu kuna ufunguo wa kufungulia hilo geti..
MTOTO: Ulimpa mtu yeyote ufunguo?
BABA: Hapana! Kwanini?
MTOTO: Badili kufuli, yule jirani yetu atakuwa amechongesha ufunguo. Ukiondoka huwa anakuja kufungua. Akifungua
mama anapiga kelele sana. Itakuwa funguo yake kubwa sana. Ataharibu kufuli!