Kwa muda nimetafuta formula ya chakula kwa ajili ya kulisha nguruwe bila mafanikio. Leo nimefanikiwa kupata hii formula toka chuo cha kilimo na mifugo Tengeru, Arusha. Kutengeneza kilo 100 changanya hivi
Pumba ya mahindi 40kg
Pumba ya ngano 35kg
Mashudu ya alizeti 15kg
Dagaa waliosagwa 5kg
Chumvi 1kg
Pig mix 1kg
Mifupa iliyosagwa 1kg
Chokaa 2kg
Mchanganyiko huu ni kwa nguruwe wa umri wote.
Tafadhali share kama una formula tofauti kwa ulishaji wa nguruwe
Pumba ya mahindi 40kg
Pumba ya ngano 35kg
Mashudu ya alizeti 15kg
Dagaa waliosagwa 5kg
Chumvi 1kg
Pig mix 1kg
Mifupa iliyosagwa 1kg
Chokaa 2kg
Mchanganyiko huu ni kwa nguruwe wa umri wote.
Tafadhali share kama una formula tofauti kwa ulishaji wa nguruwe