monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,265
- 11,307
cc MalafyaleP
Dodoma sehemu gani unapanga kuweka project yako?
Pale Bahi kuna rafiki yangu anafuga nguruwe. Ameanza project yake juzi tu nadhani ameanzq na nguuruwe nane
Uko wapi? Mtafte mtu anaitwa MalafyaleP atakupa mwongozoHabari za asubuhi wana JF. Nimeanza ufugaji wa nguruwe maana hapa nilipo hii ndo fursa. Naombeni mawazo yenu, eti ni mchanganyiko upi wa chakula ambao utakuwa ni mzuri kwa ukuaji wa haraka wa nguruwe? Nawasilisha
Nipo iringa Mkuu Monopoly. Namba yangu ya simu 0621188896Uko wapi? Mtafte mtu anaitwa MalafyaleP atakupa mwongozo
Nashkur pia kwa ushauriNipo iringa Mkuu Monopoly. Namba yangu ya simu 0621188896
Ingia instagram mtafte huyu mtu utapata mwongozo wa kila kituNipo iringa Mkuu Monopoly. Namba yangu ya simu 0621188896
Wawili mkuuUmeanza na nguruwe wangapi!
Ingia instagram mtafte huyu mtu utapata mwongozo wa kila kituView attachment 1218484View attachment 1218485
Niko katika harakati za kuanza kufuga pia,Wawili mkuu
Karbu sana mkuuSafi sana, mimi pia nauza kirutubisho cha mimea na udongo supergro nitakutafuta tuongee kuhusu soko la huko iringa kwa wakulima