Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

dada kaka hilo bonge la dili,watu tunashinda maofisini masaa 10 kwa siku ila kwa mwaka hata ata mil 30 hatufikishi kweli bora kujiajili tu.sasa kaka hicho kijiji gani mbona husemi yaani umenipa mzuka mbaya i must try that this year
Ulijaribu mkuu?
 
1.Nguruwe anachukua miezi 6 mpaka 12 mpaka kufikia uzito wa kutosha (inategemeanan na malisho)
2.Inategemeana na nafasi yako, ukiwa upo pale full time, wapagazi watatu ni more than enough (kumbuka usipokuwapo watu wanakuwa na uzembe flan). mimi nnao sita chini ya usimamizi mkali.
3.inategemea uko wapi. huku kwetu hata kama haulimi gunia la pumba za mahindi ni Tsh 10,000/=! mashudu ya alizeti gunia ni 20,000/=!
4. Ekari moja wanakaa kwa amani yote. ni vizuri kuwa mbali na makazi ya watu.
5. inategemea uko wapi. kwangu mm nauwezo wa kuuza nguruwe 200 kwa mwezi bila shida. watoto inasumbua kidogo kwa sababu wananunua wafugaji, ukitaka kuwauza kwa urahisi wakuze mpaka miezi mitatu hv.
6. Minyoo na ukurutu. Kikubwa ni chanjo na usafi wa hali ya juu KILA SIKU (nguruwe ni msafi sana akitunzwa, wa kwangu nikimkuta sebuleni nacheka tu-ni WASAFI kama pet)

Nguruwe wanahitaji usimamizi wa karibu sana, uwajue kwa namba ili uweze kufuatilia maendeleo yao kila asubuhi. Ukiona mnyama mmoja amezubaa mwite doctor haraka sana. usiachie wasaidizi kila kitu, kuwa makini na kuhakikisha wanapata milo miwili ya kutosha bila kusahau vegs. nguruwe wanapenda maji-usiwanyime starehe ya kwa kuwabananisha hawatanenepa vya kutosha. Nguruwe ana uwezo wa kuzaa mara mbili kwa mwaka. Mimi sijasoma kilimo na mifugo, ni ubishi tu na kuthubutu vilivyoletwa na maisha magumu. MUHIMU UKUBALI KUKAA SHAMBA, JF UIPATE KWA TTCL NA SOLLAR!

Mkuu hebu nipe mawasiliano yako nikutafute. Naweza pata moja au mawili. Natanguliza shukrani za Dhati kiongozi.
 
Mpwa hii bonge ya deal hata mate yananitoka ila tatizo mimi imani yangu inaniambia nguruwe ni haramu kabisa. lakini hiyo hela naitaka tena sana tu.
Mkuu,kupanga ni kuchagua.chagua mwenyewe kati ya pesa na Imani yako.
 
1.Nguruwe anachukua miezi 6 mpaka 12 mpaka kufikia uzito wa kutosha (inategemeanan na malisho)
2.Inategemeana na nafasi yako, ukiwa upo pale full time, wapagazi watatu ni more than enough (kumbuka usipokuwapo watu wanakuwa na uzembe flan). mimi nnao sita chini ya usimamizi mkali.
3.inategemea uko wapi. huku kwetu hata kama haulimi gunia la pumba za mahindi ni Tsh 10,000/=! mashudu ya alizeti gunia ni 20,000/=!
4. Ekari moja wanakaa kwa amani yote. ni vizuri kuwa mbali na makazi ya watu.
5. inategemea uko wapi. kwangu mm nauwezo wa kuuza nguruwe 200 kwa mwezi bila shida. watoto inasumbua kidogo kwa sababu wananunua wafugaji, ukitaka kuwauza kwa urahisi wakuze mpaka miezi mitatu hv.
6. Minyoo na ukurutu. Kikubwa ni chanjo na usafi wa hali ya juu KILA SIKU (nguruwe ni msafi sana akitunzwa, wa kwangu nikimkuta sebuleni nacheka tu-ni WASAFI kama pet)

Nguruwe wanahitaji usimamizi wa karibu sana, uwajue kwa namba ili uweze kufuatilia maendeleo yao kila asubuhi. Ukiona mnyama mmoja amezubaa mwite doctor haraka sana. usiachie wasaidizi kila kitu, kuwa makini na kuhakikisha wanapata milo miwili ya kutosha bila kusahau vegs. nguruwe wanapenda maji-usiwanyime starehe ya kwa kuwabananisha hawatanenepa vya kutosha. Nguruwe ana uwezo wa kuzaa mara mbili kwa mwaka. Mimi sijasoma kilimo na mifugo, ni ubishi tu na kuthubutu vilivyoletwa na maisha magumu. MUHIMU UKUBALI KUKAA SHAMBA, JF UIPATE KWA TTCL NA SOLLAR!
Safi sana mkuu!!!,nimejifunza kitu kikubwa hapa.
 
We
Unampa hongera Mfuga mnyama anaekula mavi yake mwenyewe?
Aisee nyie viumbe sijui hamna Roho!

We unajua Nguruwe pia anatokwa damu ukeni km Binaadamu?
Vipi unaweza kumla mnyama km huyu?
wewe ni fala tuu kama mapimbi wengine mkuu...!
 
We
wewe ni fala tuu kama mapimbi wengine mkuu...!
Umeona ulaji wa nyama ya nguruwe unavyo haribu kichwa!!

Tazama sasa hapa.
Unaniita "fala" halafu unanipa cheo na kuniita " MKUU"!!

Sasa Mkuu toka lini akawa Fala?

Acheni kula nyamafu, hio nyama ya nguruwe ni km Unakula Nyama ya Binaadamu. Tena Shangazi yako. Au bibi yako.!

Je unafahamu DNA ya NGURUWE na Ya Binaadamu TAKRIBAN Ziko sawa?

Basi ukute kafiri km wewe hata DNA hutambui ni kitu gani.

Pole sana Muefeso.
 
Umeona ulaji wa nyama ya nguruwe unavyo haribu kichwa!!

Tazama sasa hapa.
Unaniita "fala" halafu unanipa cheo na kuniita " MKUU"!!

Sasa Mkuu toka lini akawa Fala?

Acheni kula nyamafu, hio nyama ya nguruwe ni km Unakula Nyama ya Binaadamu. Tena Shangazi yako. Au bibi yako.!

Je unafahamu DNA ya NGURUWE na Ya Binaadamu TAKRIBAN Ziko sawa?

Basi ukute kafiri km wewe hata DNA hutambui ni kitu gani.

Pole sana Muefeso.
Magufuli anatafuna nguruwe hatari na ni Rais wako.. Baraza la mawaziri 85% ni watafuna nguruwe...
 
Magufuli anatafuna nguruwe hatari na ni Rais wako.. Baraza la mawaziri 85% ni watafuna nguruwe...
Sasa hapa ndo umeandika Utumbo gani tena !
Sasa wakila nguruwe ndio iweje !
Nyie mpk mavi mlikula Itakuwa Hii Nyamafu?
 
Sasa hapa ndo umeandika Utumbo gani tena !
Sasa wakila nguruwe ndio iweje !
Nyie mpk mavi mlikula Itakuwa Hii Nyamafu?
Rais wako ni mla nguruwe na ndie anakuongoza... Na mashirika yote ya serikali yanaongozwa na wala nguruwe sasa.. Yaani nyie magaidi wakujitoa muhanga tunawatupa kabisa kwenye system...
 
Rais wako ni mla nguruwe na ndie anakuongoza... Na mashirika yote ya serikali yanaongozwa na wala nguruwe sasa.. Yaani nyie magaidi wakujitoa muhanga tunawatupa kabisa kwenye system...
1879672f4a6290f68c42ac6489259095.jpg
8942cf30034ed850020c4c9b6e20bdda.jpg
 
Back
Top Bottom