Ufugaji wa Kuku wa kisasa (Layers)

UZI HUU UTAKUWA UPDATED KWA KILA HATUA NITAKAYOPITIA KAMA MFUGAJI. KARIBUNI.

. banda la layers linashauriwa kujengwa kwa kupandisha tofali 2 then chicken wire mpaka juu.

Mkuu hongera sana. Ila huu ujenzi ni kwa maeneo ya joto. Ukifanya hivi Mbeya watakufa wote.
 
HP1 sawa kwa wale wa maeneo ya baridi wanaweza zingatia hapo. Ila kwenye joto ni muhimu sana kuacha nafasi ya hewa ya kutosha.
 
Last edited by a moderator:
kuna kuku nawauza wako kama 90 ni wa mayai nilianza kuwafuga mwaka jana mwezi wa 6 na walianza kutaga mwezi wa 12 mwaka jana, sababu ya kuuza ni kukosa usimamizi bora hivyo mradi una jiendesha kwa hasara wapo kibamba kwa mangi kwa anae hitaji please! bei mmoja 12,000/-
 
Mkuu.. muda si mrefu nataka nianze mradi wa kufuga kuku wa kienyeji... nisaidie kujua ni vitu gani natakiwa kuvitilia maanani ili kufanikiwa ?.... sina idea yoyote. muhinda
 
Last edited by a moderator:
Muhinda asante kwa uzi huu mzuri, hivi tray ya mayai bei ya jumla kwa sasa ni sh ngapi?

Bei bado haijatulia vizuri. Ila Tunauza mpaka 6000. Kuna wengine wanasema soko limeanza kusumbua tena so huenda yakashuka tena bei. Kuna mayai yanaingizwa toka nje ya nchi kinyemela ndio maana.
 
Mkuu.. muda si mrefu nataka nianze mradi wa kufuga kuku wa kienyeji... nisaidie kujua ni vitu gani natakiwa kuvitilia maanani ili kufanikiwa ?.... sina idea yoyote. muhinda

Kwa kweli sina uzoefu na kuku wa kienyeji. Mi nafuga wa kisasa.
 
Last edited by a moderator:
Asante kwa feedback, Mi nina mpango wa kuanza na broilers 100 then 300 kama kujifunza hivi kisha ntafuga layers nikipata experience.
 


Layers DOC TZS 2200
Broiler DOC TZS 1400
Vijogoo (Male Layers-ISA) TZS 400

Contant me:0717332652
 
Naomba kuelimishwa. Kwa nini bei ya vijogoo inakuwa ndogo sana ukilinganisha na broiler?

Vijogoo ni by product,alafu cost ya kuvikuza ni ghali zaidi ya broiler,vinakula sanaa,na mpaka kuuzwa it's almost miezi 4 na nusu.Though it's more profitable than broiler
 
Vijogoo ni by product,alafu cost ya kuvikuza ni ghali zaidi ya broiler,vinakula sanaa,na mpaka kuuzwa it's almost miezi 4 na nusu.Though it's more profitable than broiler

Vijogoo vikikua vinauwezo wa kupanda matetea na kupata mayai?
 
Wewe ni jembe, kula "like". Una-inspire na wengine,
Swali langu ngoja nikimbilie moja kwa moja kwenye faida ulosema,
1. hiyo 1.5 ni faida baada ya kutoa gharama zote, chakula, dawa, kijana wa kazi n.k, yaani ndo pesa unayoiingiza wewe mfukoni wewe mwenyewe??
2. Ulianza na mtaji wa shilingi ngapi?
3. Soko la mayai unalipataje?
4. Je umefikiria pia ufugaji wa broilers? Una kauzoefu/ au ujuzi kidogo na hii?? Na pia kama mtu ambaye unafanya ufugaji, nina uhakika una wasiliana na wafugaji wengine wa poultry, kati ya layers na broilers ni ipi nzuri zaidi kuanza nayo kabla ya kuikuza biashara hapo baadae??
ASANTE!
 

1. Iyo 1.5 ni faida baada ya kutoa costs zote hii nabaki nayo mfukoni.

2. About 20m pamoja na ujenzi wa banda

3. Soko la mayai linasumbua. Ivi nnavyotype mayai yameshuka tena bei. So nauza from 5500 to 6000. Wazoefu wanasema huwa inatokea na kupita. Soko langu nimejaribu kuy arget sehemu tofautitofauti. Kuna mengine nawauzia wale wa bicycle ila hawa ni walaliaji lakini ni muhim kuwa naona as wanachukua mayai ya kuyosha. Megine napeleka mwenyewe madukani. Hawa ni wazuri kwenye bei as there is no middle man involved

4. Sina uzoefu na broilers as nilianza moja kwa moja na layers. Ila wengi hushauri uanze na broilers upate uzoefu kwanza. Mimi nilijituma mzimamzima which is risky but I believe in taking big risks.
 
je katika hao kuku 90 unapata mayai mangapi kwa siku au wanataga kwa % ngapi? Je nikiwatoa sehemu ya joto na kuwapeleka njombe sehemu ya baridi haitaathiri utagaji wao? Nawahitaji sana lakini nina wasiwasi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…