Mdakuzi
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 3,482
- 4,348
Ila yule Mushi alikuwa amejiandaa kufanya massacre.. Nasikia alikutwa na shoka na tindikali pamoja na kamba na mifuko ya plastic..
Mi ninachoona Ufoo alikuwa na bahati sana, nadhani lengo lake lilikuwa kumuua usiku lakini pengine Ufoo hakusinzia hata kidogo.
Pengine alipanga kumuua kimya kimya then ajitundike ila ikawa zali kuhamisha kikao cha mgogoro kwenda kwa Mama Ufoo.
Jamaa alikuwa na mipango ya hatari mitupu kama Al Shabab. Bastola mbili kwenye mkoba, shoka, panga na kisu. Jamaa angetisha zaidi aiseeh.