pantheraleo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 691
- 878
Yule dada aliyepigwa risasi Arusha kwenye bank ya CRDB wakati akitaka kumpiga askari na Mtangazaji Ufoo Saro aliyepigwa risasi ya mgongoni kwenye mauaji ya mume wake na mama yake ni ndugu? Hata kama majina hayajafanana inawezekana hata kabila au wanapotokea ni sehemu moja.