Ufoo Saro na Violeth Mathias ni ndugu?

pantheraleo

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
691
878
Yule dada aliyepigwa risasi Arusha kwenye bank ya CRDB wakati akitaka kumpiga askari na Mtangazaji Ufoo Saro aliyepigwa risasi ya mgongoni kwenye mauaji ya mume wake na mama yake ni ndugu? Hata kama majina hayajafanana inawezekana hata kabila au wanapotokea ni sehemu moja.
 
Yule dada aliyepigwa risasi Arusha kwenye bank ya CRDB wakati akitaka kumpiga askari na Mtangazaji Ufoo Saro aliyepigwa risasi ya mgongoni kwenye mauaji ya mume wake na mama yake ni ndugu? Hata kama majina hayajafanana inawezekana hata kabila au wanapotokea ni sehemu moja.

Hahahaha unachochea eeh!! Mi simo
 
mm naona hawana tofauti yoyote bila shaka wana uhusiano wa karibu kama sio ndugu walioshibana kumshikia askari police alie kwenye uniform silaha tena mbele ya raia wema sio jambo la mchezo mchezo ni sawa kabisa na yule mmachame aliemuua mushi akasingizia kajiua mwenyewe
 
FIKIRI VITU VYA KUANDIKA HAPA ,THAT WHY WE CALL IT FOR GREAT THINKER...SEHEMU ZA MIPASHO NENDA HUKO FB HATUAONGELEI MAMBO YA WATU HAPA,WE DISCUSS CRETICAL ISSUES ..


  • "Any intelligent fool can make things bigger, more complex, and more violent. It takes a touch of genius -- and a lot of courage -- to move in the opposite direction
 
FIKIRI VITU VYA KUANDIKA HAPA ,THAT WHY WE CALL IT FOR GREAT THINKER...SEHEMU ZA MIPASHO NENDA HUKO FB HATUAONGELEI MAMBO YA WATU HAPA,WE DISCUSS CRETICAL ISSUES ..


  • "Any intelligent fool can make things bigger, more complex, and more violent. It takes a touch of genius -- and a lot of courage -- to move in the opposite direction

Wewe ndiye mmbeya na wa majungu. Panakuhusu nini hapa? Si uende huko kwa wasomi wenzako? Division 5 we!
 
Yule dada aliyepigwa risasi Arusha kwenye bank ya CRDB wakati akitaka kumpiga askari na Mtangazaji Ufoo Saro aliyepigwa risasi ya mgongoni kwenye mauaji ya mume wake na mama yake ni ndugu? Hata kama majina hayajafanana inawezekana hata kabila au wanapotokea ni sehemu moja.

Hivi huu ndo U-GREAT THINKER?????!!!!!Tuache upuuzi kwenye uwanja huu wa kuelimishana na tuwe na uelewa wa kutosha.
 
Hivi huu ndo U-GREAT THINKER?????!!!!!Tuache upuuzi kwenye uwanja huu wa kuelimishana na tuwe na uelewa wa kutosha.

signature yako tu ni alama tosha ya hicho kizazi cha kina Ufoo Saro. Nyie oaneni wenyewe kwa wenyewe na mjimalize wenyewe kwa wenyewe. Ni upuuzi kutetea upuuzi.
 
signature yako tu ni alama tosha ya hicho kizazi cha kina Ufoo Saro. Nyie oaneni wenyewe kwa wenyewe na mjimalize wenyewe kwa wenyewe. Ni upuuzi kutetea upuuzi.

mkuu gisaka kwahiyo ndio hupokei simu zangu kabisaa:A S 100:
 
Back
Top Bottom