Ufoo Saro, kwanini uteseke na kuumia tu moyoni?

Ufoo Saro, kwanini uteseke na kuumia tu moyoni?

mtoa post una matatizo yako badala ya kuangalia habari unasikiliza tonation,kitakachofuata kuangalia anavyosimama ana umbo lake
 
Huyu dada kadri siku zinavyoenda nashindwa kumuelewa kwani tokea Lowassa ahamie CHADEMA/UKAWA kila anapokuwa anatangaza habari inayohusu tu CHADEMA/UKAWA huwa anakuwa na furaha ambayo hata huwa anashindwa kuificha, lakini Ufo Saro huyu huyu akiwa anatangaza tu taarifa ya kuhusu chama kizuri, cha Mungu, kitakatifu, bora na chenye mafanikio makubwa ndani na nje ya Tanzania cha CCM huyu dada tena bila hata ya aibu huwa anakunja sana sura yake na hata " tonation " yake huwa ni ya kukasirika na ni kama analazimishwa tu kusoma taarifa za CCM.

Kwenu uongozi wa ITV hebu lifuatilieni hili na mlifanyie kazi vinginevyo huyu binti atawaharibieni kabisa kituo chenu na hatimaye tutajua kuwa pengine anatumika. Halafu na nyie CHADEMA
/UKAWA, kwanini msianzishe tu vituo vyenu vya habari ili mtuondolee hawa waandishi wenye kuacha maadili ya kazi zao na kuweka ushabiki? Kama mtakuwa hamna hela ya mtaji wa kuanzisha hivyo vituo tafadhalini njooni CCM na tutawapeni kama siyo kuwakopesheni na mtaturudishia taratibu tu.

Ufo Saro badilika dada au kama vipi chepuka basi huko CHADEMA/UKAWA ili tujue moja.

Tuvumiliane tu kwa sasa.
Mbona ccm mmeshindwa kunjenga kituo cha TV matokeo yake mmeishia kubaka TBC yetu watanzania na kuifanya msli ya ccm. Anzeni kujenga chenu ndio msauri wengine! Magazeti ya Uhuru na mzalendo yamewashinda mtaweza mambo ya TV? Na kile kiredio mbao chenu UHURU kinapumlia mirija ya machine!
 
Mtoa thread utakuwa na tatizo na huyu dada sio bure....
 
Mbona Afisa wa tume alishamtamka "rais? "
Ufoo akifanya hivyo kuna sheeda??
 
Masisiem yamechoka hadi vyombo vya habari mnavinyima Uhuru?mngekuwa na uwezo hata magazeti mngeyafungia,anzeni kukusanya kila kilichochenu baada ya octb tunaingia Ikulu.najua mnajuta kumuachia EL .
 
Nenda hospitali ukapimwe akilli.Mbona hushangai TBC kutokutangaza habari za UKAWA ?ovyo.TBC ni chomba cha wananchi kinatakiwa kuwa fair.
 
Mleta uzi amawajua TBC na vyombo vyao vyote vya habari? Anawajua UHURU na vyombo vyao vyote vya habari? Fuatilia pia mijadala ya Channel 10.
Mara mia ITV Media inabalance na haiegemei upande mmoja!
 
hongera man kwa kujua kuusoma moyo wa saro ila unaonekana umejawa na uchama ukasahau utaifa.
 
Acha tu tulie maana hakuna namna sasa
 

Attachments

  • 1439649566164.jpg
    1439649566164.jpg
    10.2 KB · Views: 370
Anachofanya dada Ufooo ni "Mtumikie safari upate mradi wako". Boss wao kawagiza hivyo, Ukawa wakiingia madarakani atapata kitalu cha gesi!
 
mfanyakazi wa chombo cha habari akikosea kimekosea chombbo cha habari,ndio maana anayeomba radhi ni chombo na sio mtumishi.ndio maana TIBISI INASHUTUMIWA INAPENDELEA UPANDE FULANI HALAUMIWI MSOMA TAARIFA AU MWANDISHI WA HABARI ISIPOKUWA NI TIBISI KAMA MEDIA,HUWEZI KUMLAUMU MTANGAZAJI WA MEDIA HIYO.UFOO S ARO NAMKUBARI KWA UTENDAJI WAKE.YUKO VIZURI.KWA MAONI YANGU SIKULAZIMISHI WEWE MLETA TAARIFA UYAKUBARI
 
Huyu dada kadri siku zinavyoenda nashindwa kumuelewa kwani tokea Lowassa ahamie CHADEMA/UKAWA kila anapokuwa anatangaza habari inayohusu tu CHADEMA/UKAWA huwa anakuwa na furaha ambayo hata huwa anashindwa kuificha, lakini Ufo Saro huyu huyu akiwa anatangaza tu taarifa ya kuhusu chama kizuri, cha Mungu, kitakatifu, bora na chenye mafanikio makubwa ndani na nje ya Tanzania cha CCM huyu dada tena bila hata ya aibu huwa anakunja sana sura yake na hata " tonation " yake huwa ni ya kukasirika na ni kama analazimishwa tu kusoma taarifa za CCM.

Kwenu uongozi wa ITV hebu lifuatilieni hili na mlifanyie kazi vinginevyo huyu binti atawaharibieni kabisa kituo chenu na hatimaye tutajua kuwa pengine anatumika. Halafu na nyie CHADEMA
/UKAWA, kwanini msianzishe tu vituo vyenu vya habari ili mtuondolee hawa waandishi wenye kuacha maadili ya kazi zao na kuweka ushabiki? Kama mtakuwa hamna hela ya mtaji wa kuanzisha hivyo vituo tafadhalini njooni CCM na tutawapeni kama siyo kuwakopesheni na mtaturudishia taratibu tu.

Ufo Saro badilika dada au kama vipi chepuka basi huko CHADEMA/UKAWA ili tujue moja.

Tuvumiliane tu kwa sasa.
Yaani kubwa zima unaishi kwa majungu? Nenda ukapewe nafasi yake hapo ITV! Gamba mkubwa wewe!
 
Huyu dada kadri siku zinavyoenda nashindwa kumuelewa kwani tokea Lowassa ahamie CHADEMA/UKAWA kila anapokuwa anatangaza habari inayohusu tu CHADEMA/UKAWA huwa anakuwa na furaha ambayo hata huwa anashindwa kuificha, lakini Ufo Saro huyu huyu akiwa anatangaza tu taarifa ya kuhusu chama kizuri, cha Mungu, kitakatifu, bora na chenye mafanikio makubwa ndani na nje ya Tanzania cha CCM huyu dada tena bila hata ya aibu huwa anakunja sana sura yake na hata " tonation " yake huwa ni ya kukasirika na ni kama analazimishwa tu kusoma taarifa za CCM.

Kwenu uongozi wa ITV hebu lifuatilieni hili na mlifanyie kazi vinginevyo huyu binti atawaharibieni kabisa kituo chenu na hatimaye tutajua kuwa pengine anatumika. Halafu na nyie CHADEMA
/UKAWA, kwanini msianzishe tu vituo vyenu vya habari ili mtuondolee hawa waandishi wenye kuacha maadili ya kazi zao na kuweka ushabiki? Kama mtakuwa hamna hela ya mtaji wa kuanzisha hivyo vituo tafadhalini njooni CCM na tutawapeni kama siyo kuwakopesheni na mtaturudishia taratibu tu.

Ufo Saro badilika dada au kama vipi chepuka basi huko CHADEMA/UKAWA ili tujue moja.

Tuvumiliane tu kwa sasa.

Ungeanza kwanza kuwasema tbc tungekuelewa, lakini kwasasa pokea 😱!
 
Huyu dada kadri siku zinavyoenda nashindwa kumuelewa kwani tokea Lowassa ahamie CHADEMA/UKAWA kila anapokuwa anatangaza habari inayohusu tu CHADEMA/UKAWA huwa anakuwa na furaha ambayo hata huwa anashindwa kuificha, lakini Ufo Saro huyu huyu akiwa anatangaza tu taarifa ya kuhusu chama kizuri, cha Mungu, kitakatifu, bora na chenye mafanikio makubwa ndani na nje ya Tanzania cha CCM huyu dada tena bila hata ya aibu huwa anakunja sana sura yake na hata " tonation " yake huwa ni ya kukasirika na ni kama analazimishwa tu kusoma taarifa za CCM.

Kwenu uongozi wa ITV hebu lifuatilieni hili na mlifanyie kazi vinginevyo huyu binti atawaharibieni kabisa kituo chenu na hatimaye tutajua kuwa pengine anatumika. Halafu na nyie CHADEMA
/UKAWA, kwanini msianzishe tu vituo vyenu vya habari ili mtuondolee hawa waandishi wenye kuacha maadili ya kazi zao na kuweka ushabiki? Kama mtakuwa hamna hela ya mtaji wa kuanzisha hivyo vituo tafadhalini njooni CCM na tutawapeni kama siyo kuwakopesheni na mtaturudishia taratibu tu.

Ufo Saro badilika dada au kama vipi chepuka basi huko CHADEMA/UKAWA ili tujue moja.

Tuvumiliane tu kwa sasa.

Niltaka nikutukane tusi baya sana,ila acha Mungu AKUHUKUMU,,,ndiye alyekupa pumzi na akili ya kuandika haya uloandika,,,nimeona sehemu umekoment bora angekufa! Duuh! Mi cfahamu jina lako halisi na cfahamu unapoishi bt tutapata story zako tu,,,
 
Back
Top Bottom