Ufisadi wa Unaofanywa katika Jumuiya ya Wanyamapori ya Burunge, Manyara

Wambugani

JF-Expert Member
Dec 8, 2007
1,757
276
Kama inavyofahamika Serikali yetu tukufu ilianzisha jumuiya za hifadhi ya wanyama pori ili kudumisha uhifadhi wa maliasili na kunufaisha wakazi waliopo katika maeneo hayo lakini mimi kama mwanakijiji wa Kakoi nimesikitishwa na hujuma zinazofanywa na viongozi wa wanyama pori wa Wilaya ya Babati na Kamati Tendaji.
Masikitiko ni kwamba kuna ukiukwaji na hujuma katika mambo mbalimbali kama ifuatavyo:-

1. Mwaka jana gari chakavu lilinunuliwa kinyemela kwa Shs. Milioni 40 pasipo kufuata sheria ya ununuzi ya umma na kisha jumuiya ikatoa tena zaidi ya Shs. Milioni 16 kwa ajili ya matengenezo ya gari hilo na hadi leo halijaingia barabarani na wala halijulikani ilipo. Kwa kiasi hich cha Shs. Milioni 56 zilizotolewa ingewezekana kununuliwa magari kama Toyota Prado matatu mapya au zaidi.

2. Kuna hoteli ya watalii iliyopo Kijijini Kakoi inayomilikiwa na Bwana Sheni a.k.a Muhsin Abdallah, Mjumbe wa NEC – CCM (M) Kigoma inalaza wageni pasipo lulipa ushuru kwa jumuiya hiyo. Ninahisi huyo mmiliki wa hoteli analindwa na viongozi wa wilaya au wa jumuiya kama siyo ngazi ya taifa. Tunafahamu Bwana Sheni aliwapeleka viongozi wa vijiji vyetu kwa ndege hadi katika hoteli yake iliyopo Kigoma. Je, hiyo siyo rushwa ya wazi?

3. Kumekuwa na matumizi makubwa ya viongozi kwa kujilipia posho mbalimbali na kuwalipa Mawakili kwa kesi ambazo zingeendeshwa na Wakili wa Serikali.

4. Afisa WanyamaPori wa Wilaya kuchukua fedha kutoka Jumuiya pasipo utaratibu wo wote na kufanya uchaguzi ili Kamati ya Utendaji iliyoidhinisha ufisadi ichukue uongozi.

Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri wa Wilaya ambaye ni DC, Dk. Ian Langiboli na Idara ya Wanyamapori wamekaa kimya bila kuchukua hatua yo yote dhidi ya ufisadi huo.

CHANZO: Burunge WMA
 
Kama inavyofahamika Serikali yetu tukufu ilianzisha jumuiya za hifadhi ya wanyama pori ili kudumisha uhifadhi wa maliasili na kunufaisha wakazi waliopo katika maeneo hayo lakini mimi kama mwanakijiji wa Kakoi nimesikitishwa na hujuma zinazofanywa na viongozi wa wanyama pori wa Wilaya ya Babati na Kamati Tendaji.
Masikitiko ni kwamba kuna ukiukwaji na hujuma katika mambo mbalimbali kama ifuatavyo:-

1. Mwaka jana gari chakavu lilinunuliwa kinyemela kwa Shs. Milioni 40 pasipo kufuata sheria ya ununuzi ya umma na kisha jumuiya ikatoa tena zaidi ya Shs. Milioni 16 kwa ajili ya matengenezo ya gari hilo na hadi leo halijaingia barabarani na wala halijulikani ilipo. Kwa kiasi hich cha Shs. Milioni 56 zilizotolewa ingewezekana kununuliwa magari kama Toyota Prado matatu mapya au zaidi.

2. Kuna hoteli ya watalii iliyopo Kijijini Kakoi inayomilikiwa na Bwana Sheni a.k.a Muhsin Abdallah, Mjumbe wa NEC – CCM (M) Kigoma inalaza wageni pasipo lulipa ushuru kwa jumuiya hiyo. Ninahisi huyo mmiliki wa hoteli analindwa na viongozi wa wilaya au wa jumuiya kama siyo ngazi ya taifa. Tunafahamu Bwana Sheni aliwapeleka viongozi wa vijiji vyetu kwa ndege hadi katika hoteli yake iliyopo Kigoma. Je, hiyo siyo rushwa ya wazi?

3. Kumekuwa na matumizi makubwa ya viongozi kwa kujilipia posho mbalimbali na kuwalipa Mawakili kwa kesi ambazo zingeendeshwa na Wakili wa Serikali.

4. Afisa WanyamaPori wa Wilaya kuchukua fedha kutoka Jumuiya pasipo utaratibu wo wote na kufanya uchaguzi ili Kamati ya Utendaji iliyoidhinisha ufisadi ichukue uongozi.

Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri wa Wilaya ambaye ni DC, Dk. Ian Langiboli na Idara ya Wanyamapori wamekaa kimya bila kuchukua hatua yo yote dhidi ya ufisadi huo.

CHANZO: Burunge WMA

Kaka unapatikanaje maana huko kwetu
 
Dawa ya haya majizi iko inachemka na mpaka ifikapo '15 itakua imeshaiva.tutataifisha na kuwatoza kodi zote walizo kwepa na jela wataenda
 
Nimegundua kagasheki ni mropokaji tu na wala sio mfuatiliaji.amekua mtu wa matamko na mikwara.kama hizo z a wakubwa zake hawezi gusa kabisa.HAKUNA MSAFI SISIEMU YOTE MAJIZI TU.
 
Ndugu nitakupataje?

Nahitaji kufahamu zaidi kuhusu mambo uliyoandika hapa (for research purpose). Tafadhali ni PM.
 
Kama inavyofahamika Serikali yetu tukufu ilianzisha jumuiya za hifadhi ya wanyama pori ili kudumisha uhifadhi wa maliasili na kunufaisha wakazi waliopo katika maeneo hayo lakini mimi kama mwanakijiji wa Kakoi nimesikitishwa na hujuma zinazofanywa na viongozi wa wanyama pori wa Wilaya ya Babati na Kamati Tendaji.
Masikitiko ni kwamba kuna ukiukwaji na hujuma katika mambo mbalimbali kama ifuatavyo:-

1. Mwaka jana gari chakavu lilinunuliwa kinyemela kwa Shs. Milioni 40 pasipo kufuata sheria ya ununuzi ya umma na kisha jumuiya ikatoa tena zaidi ya Shs. Milioni 16 kwa ajili ya matengenezo ya gari hilo na hadi leo halijaingia barabarani na wala halijulikani ilipo. Kwa kiasi hich cha Shs. Milioni 56 zilizotolewa ingewezekana kununuliwa magari kama Toyota Prado matatu mapya au zaidi.

2. Kuna hoteli ya watalii iliyopo Kijijini Kakoi inayomilikiwa na Bwana Sheni a.k.a Muhsin Abdallah, Mjumbe wa NEC – CCM (M) Kigoma inalaza wageni pasipo lulipa ushuru kwa jumuiya hiyo. Ninahisi huyo mmiliki wa hoteli analindwa na viongozi wa wilaya au wa jumuiya kama siyo ngazi ya taifa. Tunafahamu Bwana Sheni aliwapeleka viongozi wa vijiji vyetu kwa ndege hadi katika hoteli yake iliyopo Kigoma. Je, hiyo siyo rushwa ya wazi?

3. Kumekuwa na matumizi makubwa ya viongozi kwa kujilipia posho mbalimbali na kuwalipa Mawakili kwa kesi ambazo zingeendeshwa na Wakili wa Serikali.

4. Afisa WanyamaPori wa Wilaya kuchukua fedha kutoka Jumuiya pasipo utaratibu wo wote na kufanya uchaguzi ili Kamati ya Utendaji iliyoidhinisha ufisadi ichukue uongozi.

Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri wa Wilaya ambaye ni DC, Dk. Ian Langiboli na Idara ya Wanyamapori wamekaa kimya bila kuchukua hatua yo yote dhidi ya ufisadi huo.

CHANZO: Burunge WMA

Ndugu nitakupataje?

Nahitaji kufahamu zaidi kuhusu mambo uliyoandika hapa (for research purpose). Tafadhali ni PM.
 
Fuatilia kutoka ofisi ya Jumuiya ipo Kijiji cha Mwada, Wilaya ya Babati.
 
Umeiandika kimbeya na kimajungu Sana. Milioni 56 Prado 3 au zaidi una malaria wewe.
 
Back
Top Bottom