technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,849
CAG report ya mwaka huu ni pasua kichwa kuna ufisadi wa kutisha wa pesa za umma..
Upotevu wa 2.4 trion ongezeko karibu mara mbali ya pesa ambayo haikuonekana mwaka Jana....
Najua wakurugenzi wa halimashari watatolewa kafala lakini ukweli ni kwamba ...
Hazina ndio kuna ufisadi wa kutisha pesa zimechotwa za kutosha ..
Sector ya Madini CAG bado harusiwi kukagua..
Report ya ukaguzi Maalumu wa mwaka Jana 1.5 trion ni majonzi matupu Speaker kailalia hataki kuitoa...
Nitaweka report kamili hapa ila napenda kumshukuru CAG Kwa kuendelea kuwa mzalendo na kukataa report yake ipikwe.
Magufuli anazima vyombo vya habari ili afanye ufisadi wa kutosha..
Upotevu wa 2.4 trion ongezeko karibu mara mbali ya pesa ambayo haikuonekana mwaka Jana....
Najua wakurugenzi wa halimashari watatolewa kafala lakini ukweli ni kwamba ...
Hazina ndio kuna ufisadi wa kutisha pesa zimechotwa za kutosha ..
Sector ya Madini CAG bado harusiwi kukagua..
Report ya ukaguzi Maalumu wa mwaka Jana 1.5 trion ni majonzi matupu Speaker kailalia hataki kuitoa...
Nitaweka report kamili hapa ila napenda kumshukuru CAG Kwa kuendelea kuwa mzalendo na kukataa report yake ipikwe.
Magufuli anazima vyombo vya habari ili afanye ufisadi wa kutosha..