profkobayashi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 224
- 71
Ongezea mashine za TRA wanazozinunua shilindi elfu 50 kisha wanatuuzia kwa shilingi milioni 1
du kweli huyu mama anatakiwa afilisiwe just after stepdown
sasa hivi ni bosi TRA. nchi hii ni ya vituko cjawahi ona.
sasa hivi ni bosi TRA. nchi hii ni ya vituko cjawahi ona.
Mkuu Tz hakuna nchi.
Ila kuna genge la wahuni wacheche linalotawala watu ambao ni wajinga.
Hivi bado ni bosi hapo TRA?
Waweza kurudia kuuliza tena Swali lako muda huu??Magufuli hajampa shavu huyu mama?
HatimayeHili jipu litawezekana kweli?
Mama kapigwa chini hahahaa huyo ndo maguHili jipu litawezekana kweli?