Ufisadi wa 200 bilioni Ikulu

Ufisadi wa 200 bilioni Ikulu

Status
Not open for further replies.

Jason Bourne

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2011
Posts
200
Reaction score
438
Yule kigogo alotajwa na olesendeka kwamba ni mtu mzito hapa ikulu ambae alichukua dola milioni 5 cash stanbick bank baada ya BOT kuzipeleka pesa za escrow kwenye akaunt ya PAP anaitwa Mtawa. Ambae ni msaidizi wa rais hapa Ikulu.

Lakini pia yule kigogo alotajwa kuwa alituma nje ya nchi dola laki2 mara 10 sawa na dola milioni 2, kisha standard chartered bank na hivyo kustukiwa na kitengo cha udhibiti wa fedha haramu ni Albert Marwa ambae ni mkwe wa JK.

Ameoa mtoto wa JK. Na kwamba bada ya kutafutwa kuhojiwa kuhusu fedha hizo alikimbilia Nje ya nchi inasemekana kwasasa yuko Uingereza.

Lakini pia baada ya Kafulila kulipua bungeni mara ya kwanza Mwenyekiti wa bodi ya TANESCO alionekana seacliff hotel na singasinga Sethi.

Walioshuhudia kikao hicho ni wahariri wawili wanaofuatilia kwa karibu sakata la Escrow mmoja akiwa anandikia jarida la Economic Intelligence.
 
Yaani huyu JK mpaka atakapoondoka madarakani tutukuwa mafukara wa kutisha.
 
Kikwete na familia yake wataswekwa ndani bila kutolewa kamwe baada ya 15 January 2016
 
Hivi Dengue bado IPO au ilikuwa usanii?

THE government has distributed about 57,000 dengue fever testing kits to health centres and hospitals in the country, to help medics carry out the exercise without difficulty.The Chief Medical Officer, Dr Donan Mmbando, told the 'Daily News' that some of the testing kits had been preserved in the Medical Stores Department's regional warehouses. He added that the medical kits have capacity to provide service to 57,000 people at a time.
"The problem is on decline following a number of government's initiatives including raising awareness to members of the public," he said.
According to the Dar es Salaam City Health Officer on Communicable Disease, Mr Alex Mkamba, the number of dengue fever patients has decreased for the past week in the city.

"The number of patients decreased from 47 to 17 last week and most of the cases are at OPD (Outpatients Department)," said Mr Mkamba.
Distribution of the kits came following the declaration made by the Vice-President, Dr Mohamed Gharib Bilal, recently that the government was all out to ensure that all hospitals in the country are furnished with the kits.Dr Bilal also urged members of the public to ensure they adhere to the health guidelines issued by health practitioners in checking the disease."Given the threat posed by dengue fever to the people, the government has resolved to distribute the testing equipment to all district hospitals so that the disease can be detected in its early stages," he was quoted as saying by the media.
Apart from the kits, Dr Bilal said the government was taking a number of measures aimed at eradicating the disease. He noted further that the people should not be afraid as the government was working around the clock to eliminate the disease.

Dar es Salaam Regional Commissioner (RC), Mr Saidi Meck Sadiki, had also previously announced that all upcountry buses arriving or departing the city would be fumigated in a bid to check the spread of the disease."We have almost 600-passengers buses entering the city daily, but we have ordered the Temeke Municipal Council to handle those from Mtwara and Lindi and Kinondoni will oversee those using Morogoro Road," he said.He said the buses were to be fumigated upon arrival from upcountry so that passengers who travel the next day are safe and the exercise will be repeated after every two weeks.In dealing with the disease, which has taken Dar es Salaam by storm, Mr Sadiki said they have also started the fumigation exercise in various schools and open spaces.He, however, underscored the need for city resident to keep their environment clean. Spot check by the 'Daily News' at Ubungo Bus Terminal also established that fumigation exercise had already been initiated.
 
Hahahahaaaaa kaaaazi kweli Lumunba Mentals watatia maguu hapa sasa hivi
 
hadi 2015 October hazina itakuwa nyeupe peee!!
 
Kikwete na familia yake wataswekwa ndani bila kutolewa kamwe baada ya 15 January 2016

I can't wait aisee, mi kwa unafiki nitakuwa nawatembelea gerezani weekly kuwasanifu kuwa wameiba weeee lakini wamekula miaka 10 tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom