Uchaguzi 2020 Ufisadi uliobuliwa na CAG umeiondolea sifa (credibility) Serikali ya awamu ya 5. Wapinzani sasa mshindwe wenyewe!

Upinzani uchwara wa TZ kuchukua nchi may be baada ya miaka 50 ijayo lakini siyo sasa hivi.

Mwaka 2015 Mbowe na Lowassa aliwaambia kuwa mkishindwa kuiondoa CCM mwaka 2015 itachukua miaka 50 zaidi kuweza kufikiria kuondoa CCM madarakani au hamkuwaelewa viongozi wenu mkuu!!?
Ndoto za kula burger ukiwa umelala usingizi wa pono.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Dislike
Reactions: UCD
Ni ukweli usiopingika sasa kuwa upigaji (ufisadi) ambao umekuwepo miaka nenda rudi serekalini bado kabisa haujapatiwa dawa, na serekali ya awamu ya 5 iliyojinasibu kama mkombozi katika eneo hili ni dhahiri imeshindwa kufurukuta kinyume cha matarajio ya sisi wananchi.

Kuna uwezekano mkubwa kuwa ufisadi chini ya awamu hii ni mkubwa zaidi kuliko hata ilivyowahi kutokea kwenye awamu zilizotangulia huko nyuma.

Tofauti kubwa ni kwamba while kwenye awamu za huko nyuma madili yalikuwa yanapigwa kitimu miongoni mwa makada wa chama tawala, chini ya awamu hii inaonekana kuna wateule wachache (the chosen ones within the inner circle) ndiyo wanufaikaji wakubwa.

Kumekuwepo na viashiria vingi tu vya kifisadi chini ya awamu hii.… nitavitaja kwa uchache:

1) Manunuzi makubwa ambayo yamekuwa yakifanywa na serekali bila kuzingatia taratibu za manunuzi (mifano ipo mingi mnaijua)

2) Miradi ya pesa mabilioni kutengewa fedha kimyakimya bila idhini ya bunge (mifano ipo mnaijua)

3) Ukandamizaji wa watu kujieleza kupitia platforms mbalimbali ili kuficha maovu (mifano ipo mnaijua)

4) Kumekuwepo na wish-wash statements kutoka serekalini kuhusiana na zaidi ya 1.5tr zinazosemekana zilipigwa kwa mujibu wa taarifa ya CAG mstaafishwa Prof Assad. Jee, kuna mtu yeyote humu anaweza kutupatia leo final and credible statement ya serekali juu ya hili? Your guess is as good as mine!

5) CAG mstaafishwa Prof Assad alipigwa sana vita na mihimili ya Bunge & Executive hadi kupelekea kudhalilishwa mara kadhaa (mifano mnaikumbuka).
Hata kuondolewa kwake kwenye nafasi yake kunasemekana ni kinyume na katiba (kesi ipo mahakamani kwa hiyo sitaliongelea zaidi hili)

Watu wengi (wakiwemo waliomo ndani ya serekali kwenyewe, inawezekana pia na mamlaka ya uteuzi) wali misconceive kuwa kumuondoa Prof Assad kwenye nafasi ya CAG na kumleta mtu ambaye anaweza kuegemea upande wa serekali kungezuia kuibuliwa kwa haya madudu. Misconception hii ilitokana na kutotambua kuwa wanaofanya kazi ya ku audit huko field siyo CAG mwenyewe bali ni timu yake ambayo imesheheni vijana wengi wazalendo (tunawajua) ambao wanazingatia maadili ya kazi yao katikati ya mistari. Kwa hiyo, CAG, pamoja na kwamba ndiye signatory wa ripoti ya mwisho, hana ubavu wa kubadilisha audit findings hata afanyeje.

Wito wangu kwa kambi ya upinzani - mnahitaji kuya-compile haya madhaifu yote and you should make the most of it NOW - not tomorrow!

Acheni egos zenu za kila chama kujifanya ni bora kuliko chengine. Hakikisheni mnashinikiza tume huru inapatikana lakini wakati huo huo mlenge attacks zenu dhidi ya madhaifu haya ya awamu hii na kuendelea kuwaelimisha wananchi kuwa Maisha yao ni zaidi ya treni ya umeme au bwawa la umeme ambalo nalo linaweza kukumbwa na dhahma (natural hazards) wakati wowote na lisiwasaidie walengwa (wananchi) katika mustakabali wa maisha yao.

Wananchi wengi kwa kweli wamejikatia tamaa na ugumu wa maisha na hivyo wanahitaji sway kidogo tu ili waunge mkono ukombozi mpya wa taifa letu. Kukata tamaa kwa wananchi kunathibitishwa na jinsi wanavyofurahishwa kila wanapoona kiongozi fulani (waziri, mkurugenzi, nk) anatumbuliwa - kisaikolojia hii ni consolation tu kwao kwamba "ah bora naye awe anasota kama sisi! - wasotaji tuwe wengi".

The ball is in your court, dear opposition camp (cc Zitto, John Mnyika, etc).

Adios!
udhaifu mwingine wa awamu hii ni kukosa huruma kwa wananchi wake.

imagine katikati ya janga la korona nchi zingine zinatenga bajeti kuwasaidia wananchi wake lakini serekali yetu imeweka bango la kuomba pesa eti yenyewe ndiyo isaidiwe.

huu ni unyama uliopitiliza ambapo viongozi wa dini walipaswa kuukaripia kwa nguvu zote!
 
udhaifu mwingine wa awamu hii ni kukosa huruma kwa wananchi wake.

imagine katikati ya janga la korona nchi zingine zinatenga bajeti kuwasaidia wananchi wake lakini serekali yetu imeweka bango la kuomba pesa eti yenyewe ndiyo isaidiwe.

huu ni unyama uliopitiliza ambapo viongozi wa dini walipaswa kuukaripia kwa nguvu zote!
Acha kupenda vya bure fanyakazi. Siku hizi hata wanawake wanachakarika mkuu!
 
Acha kupenda vya bure fanyakazi. Siku hizi hata wanawake wanachakarika mkuu!
yeah right.... kwa vile serekali ya US iliyotoa 10% ya GDP yake kama stimulus package kwa wananchi wake ni kwa sababu wananchi hao ni wavivu na hawachapi kazi.

ridiculous!!
 
yeah right.... kwa vile serekali ya US iliyotoa 10% ya GDP yake kama stimulus package kwa wananchi wake ni kwa sababu wananchi hao ni wavivu na hawachapi kazi.

ridiculous!!
Hii ni Tanzania siyo US mkuu!
 
Unajua kuchambua reports ya CAG au umekurupuka tu?

Sijui nchi hii tumerogwa na nani. Hivi ujinga wa namna hii mtu anakuondoleje? Kuna uchambuzi gani unahitajika kama CAG anasema mpk kiasi cha pesa kilichotumika bila kufuata taratibu za manunuzi.

Tabia ya kujifanya au kumwona mtu hawezi kufanya maamuzi yake baada ya kusikia yaliyosema, yanakufanya uwe mtumwa wa watu. Wewe unamsubiri nani akuchambulie?? Na je utakubaliana na uchambuzi wake. Bure kabisa!!
 
Sijui nchi hii tumerogwa na nani. Hivi ujinga wa namna hii mtu anakuondoleje? Kuna uchambuzi gani unahitajika kama CAG anasema mpk kiasi cha pesa kilichotumika bila kufuata taratibu za manunuzi.

Tabia ya kujifanya au kumwona mtu hawezi kufanya maamuzi yake baada ya kusikia yaliyosema, yanakufanya uwe mtumwa wa watu. Wewe unamsubiri nani akuchambulie?? Na je utakubaliana na uchambuzi wake. Bure kabisa!!
Nashindwa hata jinsi ya kukujibu maana kukueleza jinsi reports ya Mdhibiti na mkaguzi mkuu inavyoandalia sawa sawa kuanzisha UZI ndani ya UZI mwingine.

Una idea au una taaluma ya kiuhasibu mkuu?
 
Jibu hoja mambo ya 2015 yamepita..

#MaendeleoHayanaChama
Upinzani uchwara wa TZ kuchukua nchi may be baada ya miaka 50 ijayo lakini siyo sasa hivi.

Mwaka 2015 Mbowe na Lowassa aliwaambia kuwa mkishindwa kuiondoa CCM mwaka 2015 itachukua miaka 50 zaidi kuweza kufikiria kuondoa CCM madarakani au hamkuwaelewa viongozi wenu mkuu!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes
Ni ukweli usiopingika sasa kuwa upigaji (ufisadi) ambao umekuwepo miaka nenda rudi serekalini bado kabisa haujapatiwa dawa, na serekali ya awamu ya 5 iliyojinasibu kama mkombozi katika eneo hili ni dhahiri imeshindwa kufurukuta kinyume cha matarajio ya sisi wananchi.

Kuna uwezekano mkubwa kuwa ufisadi chini ya awamu hii ni mkubwa zaidi kuliko hata ilivyowahi kutokea kwenye awamu zilizotangulia huko nyuma.

Tofauti kubwa ni kwamba while kwenye awamu za huko nyuma madili yalikuwa yanapigwa kitimu miongoni mwa makada wa chama tawala, chini ya awamu hii inaonekana kuna wateule wachache (the chosen ones within the inner circle) ndiyo wanufaikaji wakubwa.

Kumekuwepo na viashiria vingi tu vya kifisadi chini ya awamu hii.… nitavitaja kwa uchache:

1) Manunuzi makubwa ambayo yamekuwa yakifanywa na serekali bila kuzingatia taratibu za manunuzi (mifano ipo mingi mnaijua)

2) Miradi ya pesa mabilioni kutengewa fedha kimyakimya bila idhini ya bunge (mifano ipo mnaijua)

3) Ukandamizaji wa watu kujieleza kupitia platforms mbalimbali ili kuficha maovu (mifano ipo mnaijua)

4) Kumekuwepo na wish-wash statements kutoka serekalini kuhusiana na zaidi ya 1.5tr zinazosemekana zilipigwa kwa mujibu wa taarifa ya CAG mstaafishwa Prof Assad. Jee, kuna mtu yeyote humu anaweza kutupatia leo final and credible statement ya serekali juu ya hili? Your guess is as good as mine!

5) CAG mstaafishwa Prof Assad alipigwa sana vita na mihimili ya Bunge & Executive hadi kupelekea kudhalilishwa mara kadhaa (mifano mnaikumbuka).
Hata kuondolewa kwake kwenye nafasi yake kunasemekana ni kinyume na katiba (kesi ipo mahakamani kwa hiyo sitaliongelea zaidi hili)

Watu wengi (wakiwemo waliomo ndani ya serekali kwenyewe, inawezekana pia na mamlaka ya uteuzi) wali misconceive kuwa kumuondoa Prof Assad kwenye nafasi ya CAG na kumleta mtu ambaye anaweza kuegemea upande wa serekali kungezuia kuibuliwa kwa haya madudu. Misconception hii ilitokana na kutotambua kuwa wanaofanya kazi ya ku audit huko field siyo CAG mwenyewe bali ni timu yake ambayo imesheheni vijana wengi wazalendo (tunawajua) ambao wanazingatia maadili ya kazi yao katikati ya mistari. Kwa hiyo, CAG, pamoja na kwamba ndiye signatory wa ripoti ya mwisho, hana ubavu wa kubadilisha audit findings hata afanyeje.

Wito wangu kwa kambi ya upinzani - mnahitaji kuya-compile haya madhaifu yote and you should make the most of it NOW - not tomorrow!

Acheni egos zenu za kila chama kujifanya ni bora kuliko chengine. Hakikisheni mnashinikiza tume huru inapatikana lakini wakati huo huo mlenge attacks zenu dhidi ya madhaifu haya ya awamu hii na kuendelea kuwaelimisha wananchi kuwa Maisha yao ni zaidi ya treni ya umeme au bwawa la umeme ambalo nalo linaweza kukumbwa na dhahma (natural hazards) wakati wowote na lisiwasaidie walengwa (wananchi) katika mustakabali wa maisha yao.

Wananchi wengi kwa kweli wamejikatia tamaa na ugumu wa maisha na hivyo wanahitaji sway kidogo tu ili waunge mkono ukombozi mpya wa taifa letu. Kukata tamaa kwa wananchi kunathibitishwa na jinsi wanavyofurahishwa kila wanapoona kiongozi fulani (waziri, mkurugenzi, nk) anatumbuliwa - kisaikolojia hii ni consolation tu kwao kwamba "ah bora naye awe anasota kama sisi! - wasotaji tuwe wengi".

The ball is in your court, dear opposition camp (cc Zitto, John Mnyika, etc).

Adios!
 
Back
Top Bottom