Uchaguzi 2020 Ufisadi uliobuliwa na CAG umeiondolea sifa (credibility) Serikali ya awamu ya 5. Wapinzani sasa mshindwe wenyewe!

ha ha naomba vijana wa Lumumba walete uchambuzi wao hapa manake wamekazana kweli hujui kuchambua report kama vile report ya CAG ni philosophical book wakati ni plain report tu. Mtu yoyote anaye jua kusoma anaweza kuelewa.
 
Ni ukweli usiopingika sasa kuwa upigaji (ufisadi) ambao umekuwepo miaka nenda rudi serekalini bado kabisa haujapatiwa dawa, na serekali ya awamu ya 5 iliyojinasibu kama mkombozi katika eneo hili ni dhahiri imeshindwa kufurukuta kinyume cha matarajio ya sisi wananchi.

Kuna uwezekano mkubwa kuwa ufisadi chini ya awamu hii ni mkubwa zaidi kuliko hata ilivyowahi kutokea kwenye awamu zilizotangulia huko nyuma.

Tofauti kubwa ni kwamba while kwenye awamu za huko nyuma madili yalikuwa yanapigwa kitimu miongoni mwa makada wa chama tawala, chini ya awamu hii inaonekana kuna wateule wachache (the chosen ones within the inner circle) ndiyo wanufaikaji wakubwa.

Kumekuwepo na viashiria vingi tu vya kifisadi chini ya awamu hii.… nitavitaja kwa uchache:

1) Manunuzi makubwa ambayo yamekuwa yakifanywa na serekali bila kuzingatia taratibu za manunuzi (mifano ipo mingi mnaijua)

2) Miradi ya pesa mabilioni kutengewa fedha kimyakimya bila idhini ya bunge (mifano ipo mnaijua)

3) Ukandamizaji wa watu kujieleza kupitia platforms mbalimbali ili kuficha maovu (mifano ipo mnaijua)

4) Kumekuwepo na wish-wash statements kutoka serekalini kuhusiana na zaidi ya 1.5tr zinazosemekana zilipigwa kwa mujibu wa taarifa ya CAG mstaafishwa Prof Assad. Jee, kuna mtu yeyote humu anaweza kutupatia leo final and credible statement ya serekali juu ya hili? Your guess is as good as mine!

5) CAG mstaafishwa Prof Assad alipigwa sana vita na mihimili ya Bunge & Executive hadi kupelekea kudhalilishwa mara kadhaa (mifano mnaikumbuka).
Hata kuondolewa kwake kwenye nafasi yake kunasemekana ni kinyume na katiba (kesi ipo mahakamani kwa hiyo sitaliongelea zaidi hili)

Watu wengi (wakiwemo waliomo ndani ya serekali kwenyewe, inawezekana pia na mamlaka ya uteuzi) wali misconceive kuwa kumuondoa Prof Assad kwenye nafasi ya CAG na kumleta mtu ambaye anaweza kuegemea upande wa serekali kungezuia kuibuliwa kwa haya madudu. Misconception hii ilitokana na kutotambua kuwa wanaofanya kazi ya ku audit huko field siyo CAG mwenyewe bali ni timu yake ambayo imesheheni vijana wengi wazalendo (tunawajua) ambao wanazingatia maadili ya kazi yao katikati ya mistari. Kwa hiyo, CAG, pamoja na kwamba ndiye signatory wa ripoti ya mwisho, hana ubavu wa kubadilisha audit findings hata afanyeje.

Wito wangu kwa kambi ya upinzani - mnahitaji kuya-compile haya madhaifu yote and you should make the most of it NOW - not tomorrow!

Acheni egos zenu za kila chama kujifanya ni bora kuliko chengine. Hakikisheni mnashinikiza tume huru inapatikana lakini wakati huo huo mlenge attacks zenu dhidi ya madhaifu haya ya awamu hii na kuendelea kuwaelimisha wananchi kuwa Maisha yao ni zaidi ya treni ya umeme au bwawa la umeme ambalo nalo linaweza kukumbwa na dhahma (natural hazards) wakati wowote na lisiwasaidie walengwa (wananchi) katika mustakabali wa maisha yao.

Wananchi wengi kwa kweli wamejikatia tamaa na ugumu wa maisha na hivyo wanahitaji sway kidogo tu ili waunge mkono ukombozi mpya wa taifa letu. Kukata tamaa kwa wananchi kunathibitishwa na jinsi wanavyofurahishwa kila wanapoona kiongozi fulani (waziri, mkurugenzi, nk) anatumbuliwa - kisaikolojia hii ni consolation tu kwao kwamba "ah bora naye awe anasota kama sisi! - wasotaji tuwe wengi".

The ball is in your court, dear opposition camp (cc Zitto, John Mnyika, etc).

Adios!
Na kweli Wapinzani gaweni kwa wingi kopi za kitabu cha CAG kwa Wananchi kuanika Ufisadi wa CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ukweli usiopingika sasa kuwa upigaji (ufisadi) ambao umekuwepo miaka nenda rudi serekalini bado kabisa haujapatiwa dawa, na serekali ya awamu ya 5 iliyojinasibu kama mkombozi katika eneo hili ni dhahiri imeshindwa kufurukuta kinyume cha matarajio ya sisi wananchi.

Kuna uwezekano mkubwa kuwa ufisadi chini ya awamu hii ni mkubwa zaidi kuliko hata ilivyowahi kutokea kwenye awamu zilizotangulia huko nyuma.

Tofauti kubwa ni kwamba while kwenye awamu za huko nyuma madili yalikuwa yanapigwa kitimu miongoni mwa makada wa chama tawala, chini ya awamu hii inaonekana kuna wateule wachache (the chosen ones within the inner circle) ndiyo wanufaikaji wakubwa.

Kumekuwepo na viashiria vingi tu vya kifisadi chini ya awamu hii.… nitavitaja kwa uchache:

1) Manunuzi makubwa ambayo yamekuwa yakifanywa na serekali bila kuzingatia taratibu za manunuzi (mifano ipo mingi mnaijua)

2) Miradi ya pesa mabilioni kutengewa fedha kimyakimya bila idhini ya bunge (mifano ipo mnaijua)

3) Ukandamizaji wa watu kujieleza kupitia platforms mbalimbali ili kuficha maovu (mifano ipo mnaijua)

4) Kumekuwepo na wish-wash statements kutoka serekalini kuhusiana na zaidi ya 1.5tr zinazosemekana zilipigwa kwa mujibu wa taarifa ya CAG mstaafishwa Prof Assad. Jee, kuna mtu yeyote humu anaweza kutupatia leo final and credible statement ya serekali juu ya hili? Your guess is as good as mine!

5) CAG mstaafishwa Prof Assad alipigwa sana vita na mihimili ya Bunge & Executive hadi kupelekea kudhalilishwa mara kadhaa (mifano mnaikumbuka).
Hata kuondolewa kwake kwenye nafasi yake kunasemekana ni kinyume na katiba (kesi ipo mahakamani kwa hiyo sitaliongelea zaidi hili)

Watu wengi (wakiwemo waliomo ndani ya serekali kwenyewe, inawezekana pia na mamlaka ya uteuzi) wali misconceive kuwa kumuondoa Prof Assad kwenye nafasi ya CAG na kumleta mtu ambaye anaweza kuegemea upande wa serekali kungezuia kuibuliwa kwa haya madudu. Misconception hii ilitokana na kutotambua kuwa wanaofanya kazi ya ku audit huko field siyo CAG mwenyewe bali ni timu yake ambayo imesheheni vijana wengi wazalendo (tunawajua) ambao wanazingatia maadili ya kazi yao katikati ya mistari. Kwa hiyo, CAG, pamoja na kwamba ndiye signatory wa ripoti ya mwisho, hana ubavu wa kubadilisha audit findings hata afanyeje.

Wito wangu kwa kambi ya upinzani - mnahitaji kuya-compile haya madhaifu yote and you should make the most of it NOW - not tomorrow!

Acheni egos zenu za kila chama kujifanya ni bora kuliko chengine. Hakikisheni mnashinikiza tume huru inapatikana lakini wakati huo huo mlenge attacks zenu dhidi ya madhaifu haya ya awamu hii na kuendelea kuwaelimisha wananchi kuwa Maisha yao ni zaidi ya treni ya umeme au bwawa la umeme ambalo nalo linaweza kukumbwa na dhahma (natural hazards) wakati wowote na lisiwasaidie walengwa (wananchi) katika mustakabali wa maisha yao.

Wananchi wengi kwa kweli wamejikatia tamaa na ugumu wa maisha na hivyo wanahitaji sway kidogo tu ili waunge mkono ukombozi mpya wa taifa letu. Kukata tamaa kwa wananchi kunathibitishwa na jinsi wanavyofurahishwa kila wanapoona kiongozi fulani (waziri, mkurugenzi, nk) anatumbuliwa - kisaikolojia hii ni consolation tu kwao kwamba "ah bora naye awe anasota kama sisi! - wasotaji tuwe wengi".

The ball is in your court, dear opposition camp (cc Zitto, John Mnyika, etc).

Adios!
Haijawahi kuwa na credibility hata tone.
 
Huwa naumia sana ninaposikia afisa wa TAKUKURU anatuhumiwa kwa RUSHWA. Kwasababu rushwa ni adui wa haki, sasa kama aliyepewa dhamana ya kupambana na RUSHWA nae amegeuka kuwa muombaji, hilo tatizo kubwa sana.

Iko hivi, serikali mpya sawa, watendaji walewale, mtendaji anaiibia serikali, anabainika, TAKUKURU wanachunguza, mtendaji anatoa RUSHWA kwa TAKUKURU mambo yanazimwa anarudi kazini anahamishwa kituo cha kazi, maisha yanaendelea.

TAKUKURU wakifanya kazi kwa mujibu wa sheria kikamilifu, ninaimani mambo yataenda, kama mishahara yao ni midogo waboresheeni ili wasiwe na tamaa.
 
M
Ni ukweli usiopingika sasa kuwa upigaji (ufisadi) ambao umekuwepo miaka nenda rudi serekalini bado kabisa haujapatiwa dawa, na serekali ya awamu ya 5 iliyojinasibu kama mkombozi katika eneo hili ni dhahiri imeshindwa kufurukuta kinyume cha matarajio ya sisi wananchi.

Kuna uwezekano mkubwa kuwa ufisadi chini ya awamu hii ni mkubwa zaidi kuliko hata ilivyowahi kutokea kwenye awamu zilizotangulia huko nyuma.

Tofauti kubwa ni kwamba while kwenye awamu za huko nyuma madili yalikuwa yanapigwa kitimu miongoni mwa makada wa chama tawala, chini ya awamu hii inaonekana kuna wateule wachache (the chosen ones within the inner circle) ndiyo wanufaikaji wakubwa.

Kumekuwepo na viashiria vingi tu vya kifisadi chini ya awamu hii.… nitavitaja kwa uchache:

1) Manunuzi makubwa ambayo yamekuwa yakifanywa na serekali bila kuzingatia taratibu za manunuzi (mifano ipo mingi mnaijua)

2) Miradi ya pesa mabilioni kutengewa fedha kimyakimya bila idhini ya bunge (mifano ipo mnaijua)

3) Ukandamizaji wa watu kujieleza kupitia platforms mbalimbali ili kuficha maovu (mifano ipo mnaijua)

4) Kumekuwepo na wish-wash statements kutoka serekalini kuhusiana na zaidi ya 1.5tr zinazosemekana zilipigwa kwa mujibu wa taarifa ya CAG mstaafishwa Prof Assad. Jee, kuna mtu yeyote humu anaweza kutupatia leo final and credible statement ya serekali juu ya hili? Your guess is as good as mine!

5) CAG mstaafishwa Prof Assad alipigwa sana vita na mihimili ya Bunge & Executive hadi kupelekea kudhalilishwa mara kadhaa (mifano mnaikumbuka).
Hata kuondolewa kwake kwenye nafasi yake kunasemekana ni kinyume na katiba (kesi ipo mahakamani kwa hiyo sitaliongelea zaidi hili)

Watu wengi (wakiwemo waliomo ndani ya serekali kwenyewe, inawezekana pia na mamlaka ya uteuzi) wali misconceive kuwa kumuondoa Prof Assad kwenye nafasi ya CAG na kumleta mtu ambaye anaweza kuegemea upande wa serekali kungezuia kuibuliwa kwa haya madudu. Misconception hii ilitokana na kutotambua kuwa wanaofanya kazi ya ku audit huko field siyo CAG mwenyewe bali ni timu yake ambayo imesheheni vijana wengi wazalendo (tunawajua) ambao wanazingatia maadili ya kazi yao katikati ya mistari. Kwa hiyo, CAG, pamoja na kwamba ndiye signatory wa ripoti ya mwisho, hana ubavu wa kubadilisha audit findings hata afanyeje.

Wito wangu kwa kambi ya upinzani - mnahitaji kuya-compile haya madhaifu yote and you should make the most of it NOW - not tomorrow!

Acheni egos zenu za kila chama kujifanya ni bora kuliko chengine. Hakikisheni mnashinikiza tume huru inapatikana lakini wakati huo huo mlenge attacks zenu dhidi ya madhaifu haya ya awamu hii na kuendelea kuwaelimisha wananchi kuwa Maisha yao ni zaidi ya treni ya umeme au bwawa la umeme ambalo nalo linaweza kukumbwa na dhahma (natural hazards) wakati wowote na lisiwasaidie walengwa (wananchi) katika mustakabali wa maisha yao.

Wananchi wengi kwa kweli wamejikatia tamaa na ugumu wa maisha na hivyo wanahitaji sway kidogo tu ili waunge mkono ukombozi mpya wa taifa letu. Kukata tamaa kwa wananchi kunathibitishwa na jinsi wanavyofurahishwa kila wanapoona kiongozi fulani (waziri, mkurugenzi, nk) anatumbuliwa - kisaikolojia hii ni consolation tu kwao kwamba "ah bora naye awe anasota kama sisi! - wasotaji tuwe wengi".

The ball is in your court, dear opposition camp (cc Zitto, John Mnyika, etc).

Adios!
Magu mafisadi kawashindwa
 
Kuchambua ripoti tu ya CAG umeshindwa tutawezaje kuongelea ufisadi wakati umeshindwa kuchambua hiyo ripoti badala yake umetoa mapovu tuuu!
Tuchambulie wewe ili nasi tuliona povu liko wapi. Usiseme tu jamaa kashindwa kutafsiri bila kutuchambulia
 
  • Dislike
Reactions: UCD
Wito wangu kwa kambi ya upinzani - mnahitaji kuya-compile haya madhaifu yote and you should make the most of it NOW - not tomorrow!
Safi sana kwa uchambuzi sasa ni matumaini yangu kuwa Mnyika amesoma mikakati ianze mara moja
 
Tukiweka kando ukabila na udini uliotangazwa na gwajima ni nani kati ya wafuatao anaweza kupigia kura ccm?!?!.......zingatia zile factors...(economic, social and political factors)......
1. Wakulima
2. Wafanyakazi
3. Wafanyabiashara
4. Wanafunzi

Wamachinga ( hawa wafanyabiashara aliowaruhusu kuzagaa mijini bila taratibu) mradi awe na kitambulisho cha elfu 20 tu labda ndio wanaweza kumpigia
 
Back
Top Bottom