Ufisadi mkubwa wa fedha za Mikopo UDOM

GHANI

JF-Expert Member
Feb 18, 2011
716
292
Ni mwezi mmoja umetimia tangu chuo kikuu cha Udom kifunguliwe na wanafunzi wote wa mwaka wa kwanza college of informatics and virtual education pamoja na Natural science hawajapewa hela za matumizi, WIZI huu mkubwa unafanywa na WAKUU WA COLLEGE, MAOFISA MIKOPO, NA MAKARANI WA HAPO CHUONI, chuoni wanawake wanashinda mjini wakijiuza, pia mlo unaliwa mara moja tuu kwa siku.Taarifa nilizozipata ni kwamba FEDHA ZA WANUFUNZI HAO ZIMEWEKWA KWENYE FIXED ACCOUNT ILI KUWANUFAISHA MAFISADI HAPO CHUONI.Kifupi hali inatisha sana hapa udom.
 
ni mwezi mmoja umetimia tangu chuo kikuu cha udom kifunguliwe na wanafunzi wote wa mwaka wa kwanza college of informatics and virtual education hawajapewa hela za matumizi, wizi huu mkubwa unafanywa na wakuu wa college, maofisa mikopo, na makarani wa hapo chuoni, chuoni wanawake wanashinda mjini wakijiuza, pia mlo unaliwa mara moja tuu kwa siku.taarifa nilizozipata ni kwamba fedha za wanufunzi hao zimewekwa kwenye fixed account ili kuwanufaisha mafisadi hapo chuoni.kifupi hali inatisha sana hapa udom.

hali inaonekana kua mbaya na ngumu kwako tu mkuuu mbona wengine wana chekelea tu mtaani na chuoni zimwi la kuwasaliti wenzenu litawamaliza
 
Ni mwezi mmoja umetimia tangu chuo kikuu cha Udom kifunguliwe na wanafunzi wote wa mwaka wa kwanza college of informatics and virtual education hawajapewa hela za matumizi, WIZI huu mkubwa unafanywa na WAKUU WA COLLEGE, MAOFISA MIKOPO, NA MAKARANI WA HAPO CHUONI, chuoni wanawake wanashinda mjini wakijiuza, pia mlo unaliwa mara moja tuu kwa siku.Taarifa nilizozipata ni kwamba FEDHA ZA WANUFUNZI HAO ZIMEWEKWA KWENYE FIXED ACCOUNT ILI KUWANUFAISHA MAFISADI HAPO CHUONI.Kifupi hali inatisha sana hapa udom.
... Nyie madogo mnakurupuka sana, hamjui nani adui nani rafiki! Hivi Deans na Principal ni wajinga kiasi gani mpaka wale hela zenu na wawaache bila boom kwa muda wote huu? Wao wanapenda mgome? Huu ni utoto kabisa!
 
Je bodi ya mikopo ni kweli mmeanza kuwakata wanufaika wa mikopo kwa kutumia sheria ya 8% of their basic salaries? Kama ndivyo mnatumia sheria ipi hali nakumbuka kuwa tulisaini mkataba wa about 3% na deni hilo tulitakiwa kulipa deni lote ndani ya miaka 10.

Chakusikitisha mwezi huu chuo tajwa hapa kwenye thread kimewakata watumishi wake kiasi kikubwa cha pesa tena bila hata kuwapa taarifa ya makato hayo na kimesahau pia kuwa tulisaini mkataba na bodi ya mikopo sio na mwajiri, lakini pia bodi ya mikopo mnakataje pesa za watu kwa kukiuka mkataba? Watu wangapi walionufaika na mikopo wako serikalini wameajiriwa na hamuwakati watumishi hao?
 
... Nyie madogo mnakurupuka sana, hamjui nani adui nani rafiki! Hivi Deans na Principal ni wajinga kiasi gani mpaka wale hela zenu na wawaache bila boom kwa muda wote huu? Wao wanapenda mgome? Huu ni utoto kabisa!

acha upumbavu, hao niliowataja ndio walioweka hela kwenye fixed account ili kujinufaisha, ni aibu ya kutisha wanafunzi wa kike wanajiuza usiku wakati wakuu wa chuo wanaendele kujinufaisha na hela za wanafunzi.
 
Tupe na account namba walizoweka hizo fixed. Fanyeni utafiti kabla ya kukurupuka na kutuhumu watu. Hicho chuo kinawatu wa kazi vilevile
 
Update:hali inazidi kua mbaya na yakutisha chuoni UDOM wanafunzi wote wa informatics na natural science first year hawajapata mkopo wao sasa ni zaidi ya mwezi, hela hizo zinaendelea kubanwa na uongozi wa chuo wakifanyia biashara, usiku wanafunzi wa kike wanazagaa mjini kujiuza kutokana na uonevu huu, kama kipindi hiki cha sikukuu wanajiuza mpaka mchana kweupe, kwel udom kumeoza.
 
dah mbona boom limetoka wiki ya 2 sasa?

Kama ni kueka hela fixed acount why wachague first year tena infomatics wakati mpo wachache kiasi cha kwamba hata mishahara ya hao viongozi wa chuo ni mikubwa kuliko jumla ya mikopo yenu?

Hebu tutajie idadi yenu wana jf waone uzito wa madai yako na sio kueneza uzushi

Kama ni fixed acount wangeeka hela za social, humanity na education zenye watu zaidi ya asilimia 95 ya chuo
 
dah mbona boom limetoka wiki ya 2 sasa?

Kama ni kueka hela fixed acount why wachague first year tena infomatics wakati mpo wachache kiasi cha kwamba hata mishahara ya hao viongozi wa chuo ni mikubwa kuliko jumla ya mikopo yenu?

Hebu tutajie idadi yenu wana jf waone uzito wa madai yako na sio kueneza uzushi

Kama ni fixed acount wangeeka hela za social, humanity na education zenye watu zaidi ya asilimia 95 ya chuo

hujatoa hoja yoyote zaidi ya kuzunguka mbuyu, ukwel ni kwamba first year wote wa informatics na natural science hawajapewa mikopo yao, ilhal pesa zilishapelekwa chuoni na bodi mwezi na zaidi, huo ndio ukweli halisi.KAMA HUNA HOJA YA MSINGI NI BORA UPIGE KIMYA KULIKO KUTULETEA UPUUZI WAKO HAPA.
 
hili la kujiuza sikubaliani nalo kwani wasichana wa first year,info ni wachache sana hawazidi kumi wengi wao ni watoto ambao msada mkubwa wanapata ktk kwa wazazi wao,hata hao wa natural science ni wachache na ni ngumu kufanya hvyo labda hao ni wazoefu wa kazi hzo,na kama kweli wanajiuza mchana taja maeneo wanayojiuza ....

Na inawezekana kweli fedha yenu imetumika tofauti lakini waziri wenu wa mikopo,waziri,Rais wanafanya nini? Wamekosa nguvu ya kuzungumzia jambo hilo..,..peleken ujumbe kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma atakuja kuwasiliza.
 
hujatoa hoja yoyote zaidi ya kuzunguka mbuyu, ukwel ni kwamba first year wote wa informatics na natural science hawajapewa mikopo yao, ilhal pesa zilishapelekwa chuoni na bodi mwezi na zaidi, huo ndio ukweli halisi.KAMA HUNA HOJA YA MSINGI NI BORA UPIGE KIMYA KULIKO KUTULETEA UPUUZI WAKO HAPA.

Umemsikia huyo dada? Mpo wachache hebu tumia akili upo chuo wewe mi nipo social wewe upo informatics lakini kichwa kama nazi bwana

Lets say mpo 200 kila mwanafunz laki 4 na nusu hii itakua shilingi milion 90

Milion 90 ukieka fixed account ina riba kiasi gani? Lets say riba 10 percent so itakua faida milion 9

Haya hio milion 9 wapo wengi kuna viongozi wa chuo na bodi umesema wanakula pamoja watagawana vipi?

yani watu wanatembelea magari ya mamilioni waje waibe hela hio? We upo chuo hebu fikiria acha fikra potofu na ukiongea mambo ongea kwa fact kijana la sivyo utakua hivo hivo
 
Info na natural science kujiuza wamesingiziwa! Wadada wa sosho ndio wanashikilia record ya ukahaba, kuvaa vibaya na pia kuishi maisha ya juu hali maskini wakufa.

Kama pesa imechelewa inabidi muendelee kuvumilia as u knw hatuna serikali ya chuo, wapo km masanamu tu.

Mkisema mgome, mnajua agano mlilowekaga na zaidi cku hz hata ukitema mate ni kosa, unasuspendiwa mpaka mwakani.

Tuhuma za kuweka pesa fixed akaunt zimeshafukuzisha watu huko Education so muangalie ktk story zenu ucje ukaropoka ukajikuta umepewa masaa ya kuondoka chuo.
Mwisho UDOM kwa sasa inaongozwa kwa mkono wa chuma na wanafki wapo weng to the extent huwezi mwamini m2 as anaweza kwenda kukuchoma.

Tunammis sana kabeho na serikali ya Ruta huko ng'ox.
 
huyu dogo mwngo mimi binafsi najua tatizo la wao kutopewa huo mkopo bt cwezi kuingilia mambo ya watu...mlacha na JK WAMEOA NYUMBA MOJA...hakuna wa kumzingua kama ufikiliavyo.,..wewe vumilia angalia maisha ya kwenu.... UDOM serikali inajua kila ki2 kinachoendlea lakini wamekaa kmya...kama mnaweza gomen tu..,kusema Jf ni marudio tu....
 
Umemsikia huyo dada? Mpo wachache hebu tumia akili upo chuo wewe mi nipo social wewe upo informatics lakini kichwa kama nazi bwana

Lets say mpo 200 kila mwanafunz laki 4 na nusu hii itakua shilingi milion 90

Milion 90 ukieka fixed account ina riba kiasi gani? Lets say riba 10 percent so itakua faida milion 9

Haya hio milion 9 wapo wengi kuna viongozi wa chuo na bodi umesema wanakula pamoja watagawana vipi?

yani watu wanatembelea magari ya mamilioni waje waibe hela hio? We upo chuo hebu fikiria acha fikra potofu na ukiongea mambo ongea kwa fact kijana la sivyo utakua hivo hivo

nadhani wewe una mapungufu makubwa sana katika ubongo wako, badala ya kujibu hoja unaleta calculations zenye error lukuki, jaribu kukaa darasani uelimike angalau 2%.
 
huyu dogo mwngo mimi binafsi najua tatizo la wao kutopewa huo mkopo bt cwezi kuingilia mambo ya watu...mlacha na JK WAMEOA NYUMBA MOJA...hakuna wa kumzingua kama ufikiliavyo.,..wewe vumilia angalia maisha ya kwenu.... UDOM serikali inajua kila ki2 kinachoendlea lakini wamekaa kmya...kama mnaweza gomen tu..,kusema Jf ni marudio tu....

siyo mgomo tuu, wale vijana waliotaka kuwapiga risasi Mlacha na Mvungi wa mwaka wa pili na wa tatu, wanawatafuta kwa udi na uvumba kutokana na kucheleweshewa mikopo yao na mwaka wa kwanza, so wakae chonjo.
 
Back
Top Bottom