magwepande
Member
- Jul 1, 2012
- 5
- 5
Mfanyabishara fisadi aneibia seriakali milioni mia tatu (300,000,000) tra kila mwezi aliyeifirisi wizara ya afya kwa kuuza nguo za madaktari za kiwango cha chini kwa gharama kubwa ya bilioni tatu
fisadi huyo anayemiliki maduka makubwa jijini dsm ya nguo, vipodozi na furniture. Pia ndie mmiliki wa kampuni ya mariedo ltd anafahamika kwa jina la mary amri
amekuwa akitakiwa kulipa milioni mia tatu(300,000,000/=) mpaka mia nne(400,000,000) tra kila mwezi kama malipo ya kodi. Badala yake analipa milioni hamsini(50,000,000) hadi milioni 45 (45,000,000) hii inatokana na kwamba mara nyingi anatumia risiti ambazo zimekuwa hazionyeshi vat. Na katika kila duka lake kuna mashine za tra za kuonyesha malipo ya vat lakini zimekuwa hazitumiki ili kukwepa kulipa kodi.badala yake amekuwa akiuza kwa kutumia risiti za kuandika kwa mkono ambazo hazina vat
pia amekuwa akifanya vikao na macashier wake wote kila jumanne anawafundisha jinsi ya kuiibia tra. Kwa hapa mjini ana jumla ya maduka 8 ambayo yote halipi vat ipasavyo.
Maduka hayo ni pamoja na
1.mkapa tower maduka mawili pamoja bureu
2.ips building maduka mawili
3. Mary rose cosmetics lilipo mtaa wa jamhuri
4. Homedecor furmiture lilipo namanga
mama huyo pia alishirikiana na mama blandina nyoni kuifirisi wizara ya afya kusaini mkataba wa tender ya uniform za madaktari na wauguzi wote wa muhimbiri ambapo zilisambazwa uniform na makoti ya madaktari yasiyokuwa na kiwango na kuuzwa kwa bei kubwa sana wakati nchini china yameshonwa kwa gharama za chini mno kwa sababu ni ya grade ya mwisho kabisa.
Jamani watanzania tuamke mafisadi sio mawaziri na wabunge tu hata wafanyabiashara wanaiibia sana serikali na kupoteza pato la taifa. Wanashirikiana na wafanyakazi wachache serikalini wasiokuwa waaminifu kwa kusaini mikataba hewa.
Pia mama huyo amekuwa hawalipii nssf wafanyakazi wake kama ipasavyo, wafanyakazi wake hawana mikataba ya kazi inayotambulika,amewatumikisha wafanyakazi wake kwa muda mrefu bila kuawapa mikataba, wengine wafanya kazi kwa muda miaka kumi bila kuajiriwa wala kuwa na mikataba.
Pia mama huyo amekuwa angiiza mizigo yake nchini bila kutumia jina la kampuni badala yake anawatumia majina ya wafanyakazi wake ilikukwepa kulipa kodi. Na mizigo mingi inapitia kia na anahonga wafanyakazi wa kia na mizigo inapita bila kulipa hata senti ya ushuru. Na majina ambayo huwa anatumia kwa kuingiza mizigo nchini ni pamoja na
majina hayo ndiyo yanatumika kupitishia mizigo air port na bandarini ili kukwepa kulipa kodi.na hatumii jina lake wala la kampuni yake ambayo ni mariedo limited.
Hata mizigo ya wizara ya afya iliyochakachuliwa na fisadi mwenzake mama nyoni iliingia kwa jina la haidi nyange ambayo ilitoka turkey na china na haikulipiwa hata sh mia na badala yake huwa anahonga kwa wafanyakazi wa air port na bandari na kutoa mizigo.
Tunaomba serikali muamke sana kwa wafanyabiashara wadanganyifu kama mary amri harafu anajiita mama mchungaji. Msiwabane mawaziri na wabunge tu kwa ufisadi. Tuna imani wapo wengi sana kama huyu.
Mungu ibariki tanzania .
fisadi huyo anayemiliki maduka makubwa jijini dsm ya nguo, vipodozi na furniture. Pia ndie mmiliki wa kampuni ya mariedo ltd anafahamika kwa jina la mary amri
amekuwa akitakiwa kulipa milioni mia tatu(300,000,000/=) mpaka mia nne(400,000,000) tra kila mwezi kama malipo ya kodi. Badala yake analipa milioni hamsini(50,000,000) hadi milioni 45 (45,000,000) hii inatokana na kwamba mara nyingi anatumia risiti ambazo zimekuwa hazionyeshi vat. Na katika kila duka lake kuna mashine za tra za kuonyesha malipo ya vat lakini zimekuwa hazitumiki ili kukwepa kulipa kodi.badala yake amekuwa akiuza kwa kutumia risiti za kuandika kwa mkono ambazo hazina vat
pia amekuwa akifanya vikao na macashier wake wote kila jumanne anawafundisha jinsi ya kuiibia tra. Kwa hapa mjini ana jumla ya maduka 8 ambayo yote halipi vat ipasavyo.
Maduka hayo ni pamoja na
1.mkapa tower maduka mawili pamoja bureu
2.ips building maduka mawili
3. Mary rose cosmetics lilipo mtaa wa jamhuri
4. Homedecor furmiture lilipo namanga
mama huyo pia alishirikiana na mama blandina nyoni kuifirisi wizara ya afya kusaini mkataba wa tender ya uniform za madaktari na wauguzi wote wa muhimbiri ambapo zilisambazwa uniform na makoti ya madaktari yasiyokuwa na kiwango na kuuzwa kwa bei kubwa sana wakati nchini china yameshonwa kwa gharama za chini mno kwa sababu ni ya grade ya mwisho kabisa.
Jamani watanzania tuamke mafisadi sio mawaziri na wabunge tu hata wafanyabiashara wanaiibia sana serikali na kupoteza pato la taifa. Wanashirikiana na wafanyakazi wachache serikalini wasiokuwa waaminifu kwa kusaini mikataba hewa.
Pia mama huyo amekuwa hawalipii nssf wafanyakazi wake kama ipasavyo, wafanyakazi wake hawana mikataba ya kazi inayotambulika,amewatumikisha wafanyakazi wake kwa muda mrefu bila kuawapa mikataba, wengine wafanya kazi kwa muda miaka kumi bila kuajiriwa wala kuwa na mikataba.
Pia mama huyo amekuwa angiiza mizigo yake nchini bila kutumia jina la kampuni badala yake anawatumia majina ya wafanyakazi wake ilikukwepa kulipa kodi. Na mizigo mingi inapitia kia na anahonga wafanyakazi wa kia na mizigo inapita bila kulipa hata senti ya ushuru. Na majina ambayo huwa anatumia kwa kuingiza mizigo nchini ni pamoja na
- wema kaseba 0754 907020
- dora olutu 0715 500008
- haidi nyange 0754 579622
- josephine kissima 0712 769792
- edwina barongo 0712 827777
majina hayo ndiyo yanatumika kupitishia mizigo air port na bandarini ili kukwepa kulipa kodi.na hatumii jina lake wala la kampuni yake ambayo ni mariedo limited.
Hata mizigo ya wizara ya afya iliyochakachuliwa na fisadi mwenzake mama nyoni iliingia kwa jina la haidi nyange ambayo ilitoka turkey na china na haikulipiwa hata sh mia na badala yake huwa anahonga kwa wafanyakazi wa air port na bandari na kutoa mizigo.
Tunaomba serikali muamke sana kwa wafanyabiashara wadanganyifu kama mary amri harafu anajiita mama mchungaji. Msiwabane mawaziri na wabunge tu kwa ufisadi. Tuna imani wapo wengi sana kama huyu.
Mungu ibariki tanzania .