Ufisadi hata kwenye ratiba ya kampeni kweli hii ndo tz

Juma Bundala

Member
Mar 9, 2012
71
5
Jana niliona ktk kampeni za uchaguzi mdogo Arumeru Mashariki,mgombea anaye peperusha bendera ya CDM bwana Nassari RATIBA alipangiwa kwenyw shule wakati wa wasomo na wanafunzi wakiwa wanajisomea na walimu wanafundisha ratiba inaisha ndani ya muda wa masomo,jamani huo ni Ufisadi unaofanywa na TUME ya uchaguzi ili kusaidia Chama TAWALA,kampeni zote za mgombea wa CCM zinapangwa mahali sahihi na muda sahihi,Je tume ya uchaguzi ni ya CCM au ni chombo cha serikali,kama ni chombo cha serikali siami. Naomba mchango wenu wana JF kuhusu hili.
 
Ratiba za kampeni zinapagwa na mgombea/timu ya mgombea na sio TUME. Kazi ya TUME ni kuhakikisha ratiba za vyama hazigongani.
 
Nassary by profession ni mwalimu. Si vibaya akaeneza sera za ukombozi mashuleni kupitia dirishani.
 
Watabana saana lakini mwisho wataachia!
Haki inapatikana kwa shida sana lakini inapatikana.
Nassari alinifurahisha sana,hakubabaika,hakukata tamaa aliongea kwa kujiamini na watu hao hao waliokuwepo.
 
Ratiba za kampeni zinapagwa na mgombea/timu ya mgombea na sio TUME. Kazi ya TUME ni kuhakikisha ratiba za vyama hazigongani.
kumbe tume ilitakiwa kuhakikisha ratiba hiyo haiingilii shughuli muhimu za kiserikali.ina maana mbunge akipanga ratiba ya kufanya kampeni usiku bila kuingilia ratiba ya mwingine angekubaliwa?

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Hata hivyo Tume ya Uchaguzi kwa historia yake iko pale kwa kulinda CCM. Hivi Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi huchaguliwa na nani? Msimamizi wa Jimbo la Uchaguzi ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ambaye ni mfanyakazi wa serikali. Tafakari.
 
Hata hivyo Tume ya Uchaguzi kwa historia yake iko pale kwa kulinda CCM. Hivi Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi huchaguliwa na nani? Msimamizi wa Jimbo la Uchaguzi ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ambaye ni mfanyakazi wa serikali. Tafakari.
Ili kuepukana na hilo rfk yangu ni kutoa maoni sahihi ktk mchakato wa kuunda katiba mpya
 
kumbe tume ilitakiwa kuhakikisha ratiba hiyo haiingilii shughuli muhimu za kiserikali.ina maana mbunge akipanga ratiba ya kufanya kampeni usiku bila kuingilia ratiba ya mwingine angekubaliwa? KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
mwambie anaye tetea TUME aelewe vzr sasa hajui
 
Watabana saana lakini mwisho wataachia! Haki inapatikana kwa shida sana lakini inapatikana. Nassari alinifurahisha sana,hakubabaika,hakukata tamaa aliongea kwa kujiamini na watu hao hao waliokuwepo.
Wataachia tu harafu ina kuwa tatu bila
 
Tume ya uchaguzi ni kichaka cha uchakachuaji wa kura na matokeo. Ila this time hawafui dafu kwani CDM wanatakiwa waje na ulinzi wa MTU NA BOX... That is kila sanduku la mpiga kura na mtu wake ili wakija na janja kama ya Igunga ya kuzuga gari imeharibika watu wasukume wengine wanabakia na masanduku
 
Nassary by profession ni mwalimu. Si vibaya akaeneza sera za ukombozi mashuleni kupitia dirishani.
Kama ni Mwl nayo ninzr sana ila tu sasa yupo kwenye kampeni apewe ratiba sahihi ili watu wachuje hoja na sera zake hatimaye akibuke kidedea
 
Tume ya uchaguzi ni kichaka cha uchakachuaji wa kura na matokeo. Ila this time hawafui dafu kwani CDM wanatakiwa waje na ulinzi wa MTU NA BOX... That is kila sanduku la mpiga kura na mtu wake ili wakija na janja kama ya Igunga ya kuzuga gari imeharibika watu wasukume wengine wanabakia na masanduku
Nawashauri Wameru hasa makamanda wawe makini katika suala walinde,hilo cna shaka kwa makamanda,ahsante kwa kuliona hilo
 
Ma..Gamba wanamichezo mingi na mbinu kibao chafu,lakini kwa kipindi hiki ni lazima wajibebe watz wameamka wanajua pumba na punje,hawadanywi kwa fulana,vitenge,chumvi wala minoti ya c si em wanazoiba kwenye kodi zetu.Hata wakipindisha ratiba waarumeru wanajua nani anafaa kwa wakati huu kuwa mbunge wao kwani anafahamika naye ni Nassari J.
 
Ma..Gamba wanamichezo mingi na mbinu kibao chafu,lakini kwa kipindi hiki ni lazima wajibebe watz wameamka wanajua pumba na punje,hawadanywi kwa fulana,vitenge,chumvi wala minoti ya c si em wanazoiba kwenye kodi zetu.Hata wakipindisha ratiba waarumeru wanajua nani anafaa kwa wakati huu kuwa mbunge wao kwani anafahamika naye ni Nassari J.
upo sawa ila watakoma na MaGaMbA yao
 
Back
Top Bottom