Siasa za CHADEMA hivi sasa zimebaki bungeni tu, bunge limeisha tumesahaurika, hatusikiki, na wala hamna anayewafuatilia mambo yetu,
Watanzania wote wameamua kushirikiana na rais Magufuli na kuachana na siasa zetu za kikanda.
Hapa makao makuu ni ugomvi kila siku, Mbowe kamnunia Sumaye kwa kutamka hadharani eti magufuli ni Jembe. Lowasa anaanda mapinduzi ya kujipatia uenyekiti, Mnyika kajitenga na shughuli za utendaji, Kubenea ndo kajikabidhi uenezi wa chama.
Yani structure haifuatwi tena. ukibisha pitia hapa ufipa, ofisini pamepwaya. Zogo kubwa ni namna ya kugawana ruzuku, kuna watu wanataka kurudishiwa pesa kwanza walizotoa wakati wa uchaguzi.
MAGUFULI kwa mwendo huu, utatuumiza.
CHADEMA NI CHAMA CHA KUKUMBUKWA SIKU ZOTE HATA KIKIFA KESHO KINA HISTORIA NCHI HII. KIMSINGI CHADEMA NDIO IMEMLETA MAGUFULI NA SIO HIVYO TU HATA KUMFANYA MAGUFULI AFANYE HAYA MACHACHE TUNAYO ONA ANAYAFANYA, MAANA BILA YA PRESSURE YA CHADEMA, CCM WASINGETAFUTA MTU KAMA MAGUFULI NA HATA KAMA ANGEPATIKANA KWA MIKAKATI YAO WAO CCM, WANGEMDHIBITI KWA MATAKWA YAO YA KILA SIKU TANGU KIINGIE MADARAKANA. NA HATA SASA TUKIJISAHAU TU, CCM WANARUDI BUSINESS AS USUAL.
"WE DON'T HAVE TO BE OVER COMPLACENCY"