Ni kweli hatufaimiani na ndio raha yake maana mtu unatoa ya moyoni! Hi vi kwa Tabia wanayoonyesha wapinzani wakipewa Umeya watauweza kweli. Kwani tabia zao ni: Umwamba usio na sababu, Fujo, Visingizio . Mh. Magufulki nakuamnia Vunja mambo haya ya madiwani maana wewe una uthubutu ni kupoteza Tax Payers money unnecessarily! Tunakumbuka mambo yalivyoenda wakati wa Keenja. Vunjilia mbali mambo ya madiwanisijui na mameya yanachelewesha maendeleo!
Suala sio kuweza au kutoweza bali demokrasia ya kweli ichukuwe mkondo wake. Wanaweza ahawawezi walichaguliwa na wananchi wa Dar. Hata Magufuli kachaguliwa pia kama wao. CCM mbona haijaweza tangu iwe madarakani lakini kwa kuwa ndio iliyochaguliwa inababaisha hivyo hivyo hadi siku tukipata chama kiwezacho ama wakiweza.