dogo watu kibao wamesoma huko
je kwa scholarships au kwa kulipa ada??? na wataje hao kibao.... maana havard imeanzishwa mwaka 1636.. zaidi ya miaka 500 iliyopitaa...... ina wanafunzi na alumni zaidi ya malaki na malaki.. wataje watz wapo wangapiiii wamepata chance havard katik hiyo miaka 500... kwa mwaka wa tz wanaodahiliwa havard hawafiki hata 10... hapo kuanzia degree hadi phd... halafu unasema rahisi,,,, watazania hatupendi ukweli..