Napenda kufahamu ni ufaulu upi wa chuo cha Kitanzania katika tasnia ya sheria unaweza kumruhusu mtu kudahiliwa masters (LLM)
katika vyuo bora vya sheria ulimwenguni kama oxford, Cambridge na havard.
Vyuo vyetu napenda nichukue rejeo la shule Kuu ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam (zamani ikijulikana kama kitivo cha Sheria). Karibuni.
katika vyuo bora vya sheria ulimwenguni kama oxford, Cambridge na havard.
Vyuo vyetu napenda nichukue rejeo la shule Kuu ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam (zamani ikijulikana kama kitivo cha Sheria). Karibuni.