gaidi unamshambulia kwa ndege?,sawa na kuua nzi kwa kutumia mashine gun,
upotevu wa resource tu,
kama fedha ipo hata ukiua nzi kwa risasi sawa tugaidi unamshambulia kwa ndege?,sawa na kuua nzi kwa kutumia mashine gun,
upotevu wa resource tu,
well said, Isis imeshakuwa janga la kidunia, kama mtoa mada angekuwa kwenye viatu vya wafaransa angefanyaje? wakati ufaransa wanaenda Syria tayari ulishakuwepo umwagaji damu( sio kwamba umeletwa na wafaransa) naomba mtoa mada atusaidie kuwa hao Isis wanapochinja watu(waislamu wakiwemo) wanataka kuachieve nini
kwa nini wasyria hawakimbilii saudi, qatar, iraq etc, badala yake wanakimbilia UFARANSA HUKOHUKO?
Wapigwe tu kwani magaidi wote ni waislam ila waislam wote si magaidi.mwislamu hafai kbs hapa duniani. ni wa kuogopwa kama ukoma
well said "IF YOU WANT TO KILL A DOG GIVE IT A BAD NAME"Baada ya shambulizi la 9/11 lilofanywa na wayahudi usa ikapata ridhaa ya kuivamia afghanstan,Baada ya vita ya ghuba 90s silaha za maangamiz ambazo hazikuonekanwa ikawa kigezo kuivamia Iraq same to Paris attack,Libya etc,jiulize nini REASON BEHIND?tafakari
Wafeeee woteeeee kizazi cha wapuuzi na migaidi
Na wapigwe hasa. Nani aliwaambia wachokoze wenzao. Kulalamika tuuuu... wakati wale watu 159 wanauwa bila hati Ali Mohamed ulisema nini?
Wawaue hao magaidi hata kama wapo laki. Hakuna cha haki wala ndugu yake. Na kama wamejichanganya na raia pia wauwawe na wao maana ndo wanawapa ngao (human shield)!!
Wazungu wanaoua watu si hawa waliotuletea
-Ushoga
-Walio tuletea shanga nasi kuwapa madini
-Walio mrushia ndizi etoo na drogba
-Waliotuletea ukimwi na ebola
-Walio tuletea net za matundu makubwa
-Walio dumaza akili za wasomi kwa mitaala mibovu
Inaniuma sana kuona waafrika tunaoitwa nyani na bara la giza kuunga mkono vitendo vya mauaji ya Waislamu na Wasio waislamu ndani ya Ufaransa na nje ya Ufaranza.