Ufaransa wanaua watu Syria Dunia imekaa kimya

Ufaransa wanaua watu Syria Dunia imekaa kimya

like this au??
 

Attachments

  • 1448379697622.jpg
    1448379697622.jpg
    38.2 KB · Views: 142
kwahiyo unapoona wanauliwa watoto,wakina mama na wazee kwako wewe furaha kubwa?sindio? lkn juwa kwamba Mwenyezi Mungu yupo pamoja nao,inshallah ipo cku atawaangamiza wote wanaofanya hivyo

Yanayoshambuliwa Ni makazi ya IS. IS ni janga hata kwa waislam wenyewe na wana Syria. Hivi unajua kwanini watu wa Syria wanakimbia nchi yao? Isije kuwa nabishana na mtu ambae hajui A wala B. Kama ni mke/mtoto/Babu/ndugu wa IS na yupo ndani ya himaya ya IS na anafurahia vitendo vya IS basi ni halali kuuwawa hana thamani, simuonei huruma na allah hatushuka hata siku moja kumsaidia kama unavyodhani. Tatizo nyie watu mnaingiza udini kwenye kila kiu
 
Kuna siri kubwa nyuma ya hawa IS.Huwezi kupata ukweli kwa vyombo vya habari kama CNN,BBC,FRANCE 24 n.k. Vyombo hivi hueneza propaganda tu za kuihadaa dunia na kuficha ukweli.Ndugu zangu,nasisitiza tena;duniani kuna GENGE hatari sana linaloabudu SHETANI lijulikanalo kama ILLUMINATI.Genge hili ndio liko nyuma ya matukio mengi yenye kuangamiza maelfu ya watu.
 
UFARANSA WANAUA WATU SYRIA DUNIA IMEKAA KIMYA!
Ndege za kivita za Ufaransa na washirika wake, zinafanya mashambulizi ya maana nchini Syria, katika kile kinachodaiwa kulipiza kisasi kwa kundi la ISIS linalodaiwa kufanya mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea katika maeneo sita tofauti nchini Ufaransa.
Mashambulizi ya ndege za kivita za Ufaransa na washirika wake ambayo hayana tofauti na yale yanayoitwa "mashambulizi ya kigaidi", yanagharimu maisha ya wasio na chembe ya hatia, tumeshuhudia watoto wadogo wakiuawa mithili ya dagaa, watu wazima, wanawake na makundi mengine yasiyo na hatia wanakatizwa maisha yao kama vile ni kunguni hawana thamani yeyote ya kuishi ulimwenguni!
Waswahili wanasema "vita haina macho", naam, maana kinachotokea nchini Syria katika vita ya Ufaransa na washirika wake dhini ISIS inagharimu maisha ya mamia ya wasiokuwa na hatia, najiuliza hivi viko wapi vyombo vya habari vya Kimataifa? Mbona kimya? Sijui hawauoni huu UGAIDI wanaofanyiwa wananchi wa Syria kwa mgongo wa ISIS?
Yako wapi matamko ya Jumuiya za Kimataifa? Umoja wa Mataifa wamekaa kimya kana kwamba hakuna kinachotokea! Wako wapi wamiliki wa mtandao wa 'facebook' wa kutushawishi kubadili 'profile pictures' zetu ili kuwaombea watu wa Syria?
Ufaransa na washirika wake wanafanya 'mijishambulizi' iliyovuka kiwango nchini Syria, dunia imekaa kimya! Yalipotokea Ufaransa dunia nzima ilihamia Paris, matamko ya kulaani yalitolewa kila pembe ya dunia, watu wakabadilisha 'profile' zao eti kuonesha kuguswa na mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea Paris, Ufaransa!
Inakadiriwa watu 159 walipoteza maisha katika mashambulizi ya Paris, lakini idadi ya wanaoendelea kufa nchini Syria kwa mashambulizi hayo hayo ya kigaidi yanayofanywa na 'wazungu' imevuka hiyo ya Ufaransa, dunia imekaa kimya! Wanataka kutuaminisha kuwa damu ya mzungu thamani yake ni kubwa mno ukilinganisha na damu ya wasiokuwa wazungu?
Mwenyezi Mungu ndiye pekee mwenye kusimamia haki!
Nawasilisha.
Ally Mohammed,
Zanzibar,
Tanzania,
Email : allymohammed01@gmail.com,
Simu ya mkononi : + 255 655 572 594,
Simu ya mezani : + 255 732 940 023.

ISIS wanatafuta watu kama wewe mkapiganie dini huko Syria. Nenda tu maana akili yako ishapotezwa na propaganda zao. Kwa taarifa yako kama watoto na wengine wanakufa wasio na hatia basi ISIS ndio wanachekelea saaaana maana wanajua kuwa kuna wajinga watashow sympathy kuwa ISIS na watu wa Syria wanaonewa so mtajitolea kwenda kuwasaidia. Wao wamewachokozq FRANCE ili france iwashambulie na wanachokoza kila mahali ili washambuliwe na wao wazidi kupata wapiganaji wajinga wa kujitolea kwenda kuwasaidia kwa kudanganywa na picha za Facebook kuwa waislam wanaangamizwa huko Syria.
 
Inaonekana wewe ni mgeni na majambo haya!

Kuna wakina John huko Africa ya magharibi wanaitwa Aunt Baraka, kazi yao ni kuuwa!

Hilo ni kundi la kigaidi hapa hapa Africa!

Hata huko Ulaya yapo!

waislamu wa Africa ya kati ndio walianza kuwaua wakristo, kumbuka vizuri mkuu
 
Si bora mngekuwa mkiwakamata watu mnawapa test ya hesabu kama20x20 akishindwa kujibu achinjwe ili duniani watu wasio na akili kama wewe mtoa mada waishe.siyo mnawakamata watu na kuwaauliza eti mama yake mtume nani akishindwa jibu mnamchinja.ina maana mungu mwenyewe aliyemuacha aishi ni mjinga?wengine ni wakristo hata mama yake yesu hawamjui sembuse mama yake mtume?tuacheni mambo haya bwana tuiashi kwa upendo

duh, mkuu umefikiria mbali
 
UGAIDI. UMEANZISHWA NA WAZUNGU WENYEWE
UGAIDI UMEANZISHWA NA KANISA KATOLIKI

RUDI DARASANI USOME UJUE


UNAPOKIDHAMIN KIKUNDI UNAKIPA MAFUNZO HARAMU NA SILAA KIKIKUBUHU UNAANZA NGEMBE MSIUCHAFUE UISLAM
ISIS INAUNDWA NA IZRAEL NA united states

elimu elimu elimu
 
UGAIDI. UMEANZISHWA NA WAZUNGU WENYEWE
UGAIDI UMEANZISHWA NA KANISA KATOLIKI

RUDI DARASANI USOME UJUE


UNAPOKIDHAMIN KIKUNDI UNAKIPA MAFUNZO HARAMU NA SILAA KIKIKUBUHU UNAANZA NGEMBE MSIUCHAFUE UISLAM
ISIS INAUNDWA NA IZRAEL NA united states

Hojamavi,hivi unaweza kutengeneza kikundi cha uhalifu mahsus kwaajili ya kukuvamia kwenye familia yako,sio nyie kwenye maandishi yenu mmeahidiwa ukiuawa kwaaajili ya uislam kuna mabikra 74 pamoja na sahani 200 za ubwabwa,zinakusubiri, au sio nyie mnao hukumu waislam wenzenu kwa kuwaponda mawe? Sasa anaeuchafua uislam ni us hapo au liktabu lenu ?
 
hojamavi,hivi unaweza kutengeneza kikundi cha uhalifu mahsus kwaajili ya kukuvamia kwenye familia yako,sio nyie kwenye maandishi yenu mmeahidiwa ukiuawa kwaaajili ya uislam kuna mabikra 74 pamoja na sahani 200 za ubwabwa,zinakusubiri, au sio nyie mnao hukumu waislam wenzenu kwa kuwaponda mawe? Sasa anaeuchafua uislam ni us hapo au liktabu lenu ?
hapana ni mkundu wakoooooooooooooooo
 
Eti vita haina macho, nchi kama ufaransa marekani hawawezi vita vya chini ndo sababu yao kulipua mabomu uraiani as assuming killing everything that moves, i don't encourage Isis(Israel secret Intelligence Services) to what they are doing but unnecessary killing of human beings is not the right of them taking them tunasema maisha gwaride maneno machafu yakusema bora wauliwe tu ikija kutokea kwetu hizi hali ndo utajua vilio vya roho zisizokuwa na hatia kuuliwa
 
Hojamavi,hivi unaweza kutengeneza kikundi cha uhalifu mahsus kwaajili ya kukuvamia kwenye familia yako,sio nyie kwenye maandishi yenu mmeahidiwa ukiuawa kwaaajili ya uislam kuna mabikra 74 pamoja na sahani 200 za ubwabwa,zinakusubiri, au sio nyie mnao hukumu waislam wenzenu kwa kuwaponda mawe? Sasa anaeuchafua uislam ni us hapo au liktabu lenu ?

Sasa vita unadhani how are they engineered by the west , war is a big business do your research, wauzaji Wa silaha ndo wenye sababu za kutengeneza makundi kama ISIS, Taliban kuleta fujo ili biashara iweze fanyika ya kuuza silaha, kutumia uislamu ni kuleta negative psychology kwa jamii tu ila sababu ni rasilimali na pesa.
 
Back
Top Bottom