uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 3,999
- 8,386
Wakati tukiiendelea kusubiri mtanange wa kuhitimisha kombe la Dunia leo jioni
Kati ya ARGENTINA vs Ufaransa
Kuna jambo sio zuri
Mchezaji wa Ufaransa na Real Madri, Benzema aliomba ashiriki kuanzia mechi za robo fainali kwasababu tayari alishapona ila hakujibiwa hadi siku ya jana alipoamua kutema nyongo. Benzema ni mwarabu
Hili tukio lilinifanya nichunguze kwa kina kuhusu hii trend
Ufaransa ndio nchi ya Ulaya ambayo ina wageni wengi waarabu kuliko nchi yoyote ya Ulaya wengi wao hukimbia vita na njaa kwenye nchi zao
Waarabu wengi wachezaji wa mpira wa miguu huanzia maisha yao ya mpira kwenye vilabu mbalimbali nchini Ufaransa kama ilivyo weusi
Pia national team za vijana wengi huchezea Timu za Ufaransa kama walivyo weusi
Ila cha ajabu wachezaji wenye asili ya kiarabu hawaonekani timu ya taifa tofauti na wale wamatumbi (weusi)
Wachezaji weusi wale vijana huchezeshwa mechi nyingi timu ya wakubwa ili wasije wakaswitch utaifa
Ila waarabu wanaachwa kizembe tu huu ni ubaguzi
Ufaransa hii dhambi ya kubagua waarabu na kuwabeba weusi haitawaacha salama
Kwa kuwa Ufaransa mnagusana ndugu zetu waarabu Sisi bara la Afrika kwa pamoja tunasimama dhidi yenu mshikishwe adabu na Argentina
Ndugu zangu waafrika tuwakatae Ufaransa leo kwa ubaguzi wao dhidi ya waarabu na tuiunge mkono timu ya Argentina
Asante
Kati ya ARGENTINA vs Ufaransa
Kuna jambo sio zuri
Mchezaji wa Ufaransa na Real Madri, Benzema aliomba ashiriki kuanzia mechi za robo fainali kwasababu tayari alishapona ila hakujibiwa hadi siku ya jana alipoamua kutema nyongo. Benzema ni mwarabu
Hili tukio lilinifanya nichunguze kwa kina kuhusu hii trend
Ufaransa ndio nchi ya Ulaya ambayo ina wageni wengi waarabu kuliko nchi yoyote ya Ulaya wengi wao hukimbia vita na njaa kwenye nchi zao
Waarabu wengi wachezaji wa mpira wa miguu huanzia maisha yao ya mpira kwenye vilabu mbalimbali nchini Ufaransa kama ilivyo weusi
Pia national team za vijana wengi huchezea Timu za Ufaransa kama walivyo weusi
Ila cha ajabu wachezaji wenye asili ya kiarabu hawaonekani timu ya taifa tofauti na wale wamatumbi (weusi)
Wachezaji weusi wale vijana huchezeshwa mechi nyingi timu ya wakubwa ili wasije wakaswitch utaifa
Ila waarabu wanaachwa kizembe tu huu ni ubaguzi
Ufaransa hii dhambi ya kubagua waarabu na kuwabeba weusi haitawaacha salama
Kwa kuwa Ufaransa mnagusana ndugu zetu waarabu Sisi bara la Afrika kwa pamoja tunasimama dhidi yenu mshikishwe adabu na Argentina
Ndugu zangu waafrika tuwakatae Ufaransa leo kwa ubaguzi wao dhidi ya waarabu na tuiunge mkono timu ya Argentina
Asante