Ufanye nini gari yako inapofeli breki?

DATAZ

JF-Expert Member
May 25, 2012
2,453
5,988
1) Ondoa mguu wako kwenye accelerator na Washa taa za dharura (hazard lights)

2) Pump (kwa kukanyaga na kuachia) pedal ya breki kwa haraka haraka

3) kama ulikuwa kwenye gia kubwa ipeleke haraka kwenye gia ndogo (lower gear). (Kama gari Yako ni automatic, toa gia kwenye D uipeleke kwenye S au L)

4) Gari ikipingua mwendo, vita hand brake Taratibu Taratibu hadi utakapokuwa umeivuta yote.

5) kama eneo ni baya zaidi mfano barabara yenye mteremko au Bonde, lengesha gari Yako kwenye kwenye upande Wenye sapoti ya ngema na kisha iserereshe na ukuta wa ngema.

NB, hatua zote zinapaswa kufanya kwa Kwa mfuatano na haraka huku ukiomba Dua maana uhakika wake ni 70%
 
1) Ondoa mguu wako kwenye accelerator na Washa taa za dharura (hazard lights)

2) Pump (kwa kukanyaga na kuachia) pedal ya breki kwa haraka haraka

3) kama ulikuwa kwenye gia kubwa ipeleke haraka kwenye gia ndogo (lower gear). (Kama gari Yako ni automatic, toa gia kwenye D uipeleke kwenye S au L)

4) Gari ikipingua mwendo, vita hand brake Taratibu Taratibu hadi utakapokuwa umeivuta yote.

5) kama eneo ni baya zaidi mfano barabara yenye mteremko au Bonde, lengesha gari Yako kwenye kwenye upande Wenye sapoti ya ngema na kisha iserereshe na ukuta wa ngema.

NB, hatua zote zinapaswa kufanya kwa Kwa mfuatano na haraka huku ukiomba Dua maana uhakika wake ni 70%
Umesahau kuwashauri Madereva kuto-panic. Vinginevyo anaweza kukanyaga accelerator gari ikapaa
 
Hpo kwenye namba tatu hujafanya Vzr homework yako......rudi tena veta ili uweze kuzitambua hizo gia
 
1) Ondoa mguu wako kwenye accelerator na Washa taa za dharura (hazard lights)

2) Pump (kwa kukanyaga na kuachia) pedal ya breki kwa haraka haraka

3) kama ulikuwa kwenye gia kubwa ipeleke haraka kwenye gia ndogo (lower gear). (Kama gari Yako ni automatic, toa gia kwenye D uipeleke kwenye S au L)

4) Gari ikipingua mwendo, vita hand brake Taratibu Taratibu hadi utakapokuwa umeivuta yote.

5) kama eneo ni baya zaidi mfano barabara yenye mteremko au Bonde, lengesha gari Yako kwenye kwenye upande Wenye sapoti ya ngema na kisha iserereshe na ukuta wa ngema.

NB, hatua zote zinapaswa kufanya kwa Kwa mfuatano na haraka huku ukiomba Dua maana uhakika wake ni 70%
Trust my words, hiyo hali ikitokea hutokumbuka hata kimoja hapo.
Nilikuwa kwenye speed 80 mara paaap chupa ya maji/Uhai imenasa nyuma ya Breki pedal ikiwa na maji ndii so pedal haisogei. Sitaki ile kumbu kumbu irejee kichwan mwangu.
Any way ajali zina mengi
 

Handbrake Cable

A handbrake (also known as the Park or Parking Brake) is normally a mechanical braking system that can bypass the primary hydraulic brake system should it fail. The system usually consists of a cable directly connected to the brake mechanism on one end and to a lever or foot pedal at the driver's position. When the handbrake is applied, the brake cable passes through an intermediate lever which increases the force of the pull. This force is then split evenly between the rear brakes by an equaliser.
The purpose of the handbrake is to ensure the vehicle does not roll away when parked, although it can also be used as a backup or secondary braking system in the rare event that the primary brake system should fail.
A sample diagram (from a 2016 Ford Ranger) is included below:
56B167A0-B5D7-4893-B7C8-72A18E4AAE9C
 
Trust my words, hiyo hali ikitokea hutokumbuka hata kimoja hapo.
Nilikuwa kwenye speed 80 mara paaap chupa ya maji/Uhai imenasa nyuma ya Breki pedal ikiwa na maji ndii so pedal haisogei. Sitaki ile kumbu kumbu irejee kichwan mwangu.
Any way ajali zina mengi
Pole Sana mkuu, mwisho ilikuaje ?
 
1) Ondoa mguu wako kwenye accelerator na Washa taa za dharura (hazard lights)

2) Pump (kwa kukanyaga na kuachia) pedal ya breki kwa haraka haraka

3) kama ulikuwa kwenye gia kubwa ipeleke haraka kwenye gia ndogo (lower gear). (Kama gari Yako ni automatic, toa gia kwenye D uipeleke kwenye S au L)

4) Gari ikipingua mwendo, vita hand brake Taratibu Taratibu hadi utakapokuwa umeivuta yote.

5) kama eneo ni baya zaidi mfano barabara yenye mteremko au Bonde, lengesha gari Yako kwenye kwenye upande Wenye sapoti ya ngema na kisha iserereshe na ukuta wa ngema.

NB, hatua zote zinapaswa kufanya kwa Kwa mfuatano na haraka huku ukiomba Dua maana uhakika wake ni 70%
Unaifanya ireseat
 
Back
Top Bottom