Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,389
We unadhani kila mtu ni mchuuziUkijua itakusaidia nini? Ebu tuulizane bei za mazao uko mlipo bei gani debe la mahindi, mpunga, Karanga nk, ili tuweze kusaidia wachuuzi maana mvua zimegoma kabisa mwaka huu Tanzania