malisoka
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 1,860
- 2,638
Akili mgando hiyo.Ukijua itakusaidia nini? Ebu tuulizane bei za mazao uko mlipo bei gani debe la mahindi, mpunga, Karanga nk, ili tuweze kusaidia wachuuzi maana mvua zimegoma kabisa mwaka huu Tanzania