Lakini mshanajr, mbona law of attraction nyingi zinasisitiza ku meditate, na kwamba lazima uanze kwa ku meditate ndio u visualize unachokitaka..... Pia kuna uzi mmoja wa astral projection jamaa kasema meditation ni mapepo, yeye yalimuigia alipokua huko sikumbuki nchi aloenda akayapata.Nitaendelea kwa kadiri ya maswali na uhitaji wa maelezo ya nyongeza
Law of attraction sio ushetani ni jinsi nature inavyorespond kutokana na mahitaji yetu mi sioni uchawi hapo. mazingira yanayotuzunguka yanareact na vibes na frequencies tunazozitoa mfano ukiwaza mabaya yatakutokea mabaya na viceversa. Ni simple equation tu.Lakini mshanajr, mbona law of attraction nyingi zinasisitiza ku meditate, na kwamba lazima uanze kwa ku meditate ndio u visualize unachokitaka..... Pia kuna uzi mmoja wa astral projection jamaa kasema meditation ni mapepo, yeye yalimuigia alipokua huko sikumbuki nchi aloenda akayapata.
Yeah like attracts like, we are what we think.Law of attraction sio ushetani ni jinsi nature inavyorespond kutokana na mahitaji yetu mi sioni uchawi hapo. mazingira yanayotuzunguka yanareact na vibes na frequencies tunazozitoa mfano ukiwaza mabaya yatakutokea mabaya na viceversa. Ni simple equation tu.
Yalishawahi mchenjia akalala macho huko mafia jini Rasi nyokaMshana jr acha hayo mavitu mwanangu mrudie Muumba ipo siku hayo majini yatakuja kukuchenjia ukaona dunia mbaya, najua yapo kwenye damu lakini jitahidi tu!
Mkuu hiko kitabu umenikimbusha mbali sana,nilikisoma longtime sanaMshanajr asante sana kaka, nilipitia pitia kusoma makala yake jinsi ya kutengeneza sigil lakini sikua nimefika mwisho na sikujua kama ni ushetani. Yarabiii, hii fukunyua nayo mbaya... Kuna kisa cha mfalme mmoja yeye alitengeneza sigil, kuwa kila akishikacho kiwe dhahabu na kweli alifanikiwa matokeo yake hakua amespicify kipi kisiathiriwe matokeo yake yakawa mabaya kwake....
Swali jingine na vipi kuhusu law of attraction, nayo ni ushetani au?
Kabisa[emoji106]Law of attraction sio ushetani ni jinsi nature inavyorespond kutokana na mahitaji yetu mi sioni uchawi hapo. mazingira yanayotuzunguka yanareact na vibes na frequencies tunazozitoa mfano ukiwaza mabaya yatakutokea mabaya na viceversa. Ni simple equation tu.
Hapana hiyo ni kama kisu moto nk inategemea unaitumiaje negatively or positivelyLaw of attraction sio ushetani ni jinsi nature inavyorespond kutokana na mahitaji yetu mi sioni uchawi hapo. mazingira yanayotuzunguka yanareact na vibes na frequencies tunazozitoa mfano ukiwaza mabaya yatakutokea mabaya na viceversa. Ni simple equation tu.
tetee unajua sisi hatujawa binadamu kamili mpaka tuyafahamu yale ya kizani katika uhalisia wake..na njia mojawapo ya kufahamu hayo ya gizani ni meditation satanism...huko ndio utambuzi halisi unakopatikana na uwezo wa kutaka kufanya kitu na kikafanyika bila kutumia nguvu..! Hizi kanuni zinapingana na Mungu kwakuwa tunaambiwa UWEZA anao yeye aliye JUU mbinguni na sisi twapaswa kuamini tu.. kumbuka uumbaji wa dunia yeye ALITAMKA tu na ikawa!Lakini mshanajr, mbona law of attraction nyingi zinasisitiza ku meditate, na kwamba lazima uanze kwa ku meditate ndio u visualize unachokitaka..... Pia kuna uzi mmoja wa astral projection jamaa kasema meditation ni mapepo, yeye yalimuigia alipokua huko sikumbuki nchi aloenda akayapata.
how to create a sigilHiyo Sigil inatengenezwaje?