Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,976
- 32,379
- Thread starter
- #81
Ritz kuna wabunge au watu wamekatazwa kufika kwenye M4C?kwasababu ya wanakotoka?This is New to me?4 the benefit ya wanabodi unaweza kutuwekea hilo katazo hapa?na lilitolewa na nani na likiwa na lengo gani?failure tutajiridhisha kuwa upo kazini unatumika
Mbona lipo wazi mkuu bahati mbaya una uwezo wa kuhoji chochote ndani ya chama chako ukihoji unafukuzwa...hii dhana mtu akiwajibu kwa hoja mnakimbilia yupo kazini.