KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Hii ndio hatari ya kujiingiza katika siasa bila kujua unachokitaka kukifanya ndio kunakosababisha udandiaji wa hoja, uzushi, madai yasiyo mashiko, Mnyika amekuwa mbunge wa mwogozo spika hivi kweli Mnyika anajua upungufu wake umelifikisha wapi Jimbo la Ubungo? Ni vyema Mnyika kabla ya kuwahukumu wenzake kwa kutoa kauli za kitoto angejipima kwanza je, amelifikisha wapi Jimbo lake.
Ritz kama Mnyika anadandia hoja na ana mazadhara kwenu kwanini mnataka kumdhuru?wangapi wa CCM ambao wameshajipima kwa michango,hoja na utekelezaji wa ahadi zao?Ritz kengeza kwa mzaramo kwa ****** mapenzi ya mungu eh!