papag
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 1,137
- 1,608
kuna tabia iliyozoeleka ktk jamii yetu kwa mfano mtu ana nguvu kwenye mkono wa kulia.akifany kitu kwa mkono wa kushoto anasema huo sio mkono wangu au huo sio mguu wangu.hii kiuhalisia si sahihi.
je wanazuoni wa lugha yetu ya kiswahili unatakiwa useme vipi?
nawasilisha
je wanazuoni wa lugha yetu ya kiswahili unatakiwa useme vipi?
nawasilisha