Ufafanuzi mdogo juu ya mamlaka ya kamati kuu ya NEC kuteua wagombea ubunge bila mchakato wa kura ya maoni

Tatizo Vijana wa ccm waoga, tukatae huu ujinga haiwezekani mtu mmoja aendeshe chama bila vikao huu upuuzi,
 
Kuna damu itamwagika kwenye chaguzi hizi mbili kama Upinzani utaamua kushiriki maana CCM na Serikali yake piga ua wanataka hawa jamaa wawili warudi. Mimi sio mtabiri wala msoma nyota na wala huu sio uchochezi. Just saying....
 
Tatizo la Polepole baada ya kupewa nafasi kafukuza watu wazuri ofisini kwake kabaki na Vijana Mashoga akina Shabani, Saidi Nguya, Magoti na demu wake Irene aliyetoka naye FESS pale, Huyu Shabani ni Shoga kila mtu anajua anashughulikiwa na DED Kayombo na mwenyekiti mpya wa Vijana Taifa Herri James unategemea hapo kutakuwa na mpya? Polepole badilika
 
Inachekesha unaposoma comments, hasa hasa Jf, kuna wakati CHADEMA ujifanya CCM, na kinyume chake pia, hii yote ufanyika kila upande ukiamini utaongeza mgogoro kwa mwenzake, trust me, wanaolalamika kuumia kwa sababu CCM hawajafata utaratibu ni CDM. Siasa bwana!
 
Makarai ya ccm.
 
Yuko wapi huyo acheni propaganda zenu haya ndo mambo yalisababisha mkashindwa vibaya kwenye chaguzi.
Chaguzi au ganguzi??..
Nyie mashoga wa Lumumba mtaacha lini ufirauni WENU??
 
Kwahiyo unataka kutuaminisha Steve Nyerere ameyafurahia maamuzi haya na anayaunga mkono?
 

mambo makubwa haya
 
Wewe mtu acha kutetea maovu, dhambi zako zinaandkwa kwenye jiwe la moto kamwe zisifutike!
 
Acheni kuua chama nyie na njaa zenu, usitetee huu ujinga hii kamati kuu ilikaa wapi na lini? Msitufanye sisi wana ccm wapumbavu
Ww ni mwana ccm tangu lini, kaa mbali kabisa. Endeleeni kutafuta coverage Nairobi.
 
Na hasa kama MAKUBALIANO YA MANUNUZI YA BINADAMU YALIGUSIA KUGOMBEA TENA KWA WATUMWA WALEWALE WALIOJIUZA .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…