Shukrani za dhati ziwe juu wn jf.wengi wenu mmepata mshtuko wa jina la hayati.hili ni jina lenye asili ya kiarabu lenye maana ya uhai yaani al-hayy kwa maana ya uhai.lkni wakati mwengine hutumika kwa maana ya mpenzi sawa na maneno yarouhi,al-ayyini. Nataraji mmenifahamu