CCM ni chama kinachotia aibu na kinaendesha nchi kishamba sana ! Eti serikali yao inazuia mikopo kwa watoto wa masikini halafu wanakuja kwa mlango wa uani kuleta mgawanyiko !
Kiukweli sijaona chama cha kizamani na kichafu kama hiki kwa sasa duniani .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.