Habari wakuu,,!!
Niwe mkweli upepo wa kisulisuli ndo nimeusikia siku za karibuni toka kuzaliwaa kwangu, kusoma kwangu kote sijawahi usikia
Kwa mwenye uelewa na huu upepo ,naomba anipe ufafanuzi kidogo. Nipo njia panda
TUNAUZA UPEPO WA KISULISULI KWA BEI YA PUNGZO,Habari wakuu,,!!
Niwe mkweli upepo wa kisulisuli ndo nimeusikia siku za karibuni toka kuzaliwaa kwangu, kusoma kwangu kote sijawahi usikia
Kwa mwenye uelewa na huu upepo ,naomba anipe ufafanuzi kidogo. Nipo njia panda
Unaweza kwenda kwa Mchungaji pale mlima wa moto kwa Elimu zaidi...Nashukuru ,,ila bado sijaelewa huo upepo ndo wa namna gani!!!!
Ni epepo mkali tu hakuna jipyaNashukuru ,,ila bado sijaelewa huo upepo ndo wa namna gani!!!!
Habari wakuu,,!!
Niwe mkweli upepo wa kisulisuli ndo nimeusikia siku za karibuni toka kuzaliwaa kwangu, kusoma kwangu kote sijawahi usikia
Kwa mwenye uelewa na huu upepo ,naomba anipe ufafanuzi kidogo. Nipo njia panda
Nilifikiri upepo wa kisulisuli unapatikana Morogoro kwa akina Mchungaji Lwakatare, kumbe umeandikwa kwenye Biblia.
Je kisulisuli ni dhoruba? Maana Biblia ninayotumia mimi mtandaoni haitaji kisulisuli badala yake inataja dhoruba.
Huo ni upepo uvumao kutoka nyanda za juu za kabisa la MAMA LWAKATALE kuelekea kwa wadada wote wasio olewaHabari wakuu,,!!
Niwe mkweli upepo wa kisulisuli ndo nimeusikia siku za karibuni toka kuzaliwaa kwangu, kusoma kwangu kote sijawahi usikia
Kwa mwenye uelewa na huu upepo ,naomba anipe ufafanuzi kidogo. Nipo njia panda
Kwenye Bible upepo wa kisulisuli wametumia maneno "tempest or Whirlwind" meaning "A violent wind or Windstorm" kwa kiswahili ni dhoruba ya upepo.Habari wakuu,,!!
Niwe mkweli upepo wa kisulisuli ndo nimeusikia siku za karibuni toka kuzaliwaa kwangu, kusoma kwangu kote sijawahi usikia
Kwa mwenye uelewa na huu upepo ,naomba anipe ufafanuzi kidogo. Nipo njia panda
hili ndiyo jibu, ni upepo mkali sana, ni sawa na pale wanapoita mlima wa moto, ni jina tu limetumika mlima wa moto, ila ukienda haukut moto, hata kisulisuli ni jina pia, unapewa upako mfano wa upepo wa kisulisuli (mkali sana)Ni epepo mkali tu hakuna jipya
Umeeleza saafi. Shida yangu ni hii, kwanini uanze Sentesi na Herufi ndogo?hili ndiyo jibu, ni upepo mkali sana, ni sawa na pale wanapoita mlima wa moto, ni jina tu limetumika mlima wa moto, ila ukienda haukut moto, hata kisulisuli ni jina pia, unapewa upako mfano wa upepo wa kisulisuli (mkali sana)