Ufafanuzi kuhusu RAZABA

Ufafanuzi kuhusu RAZABA

Kwahiyo Zanzibar inatutawala?

Mfano wako ni irrelevant

Nyerere kuwapa hao wapuuzi eneo sio sheria ni mtazamo wa kisiasa enzi za Uhuru huwezi kuwa valid currently
Mbona tunatumia mipaka ya wakoloni?
Mbona tunatumia reli za wakoloni?
Shule nyingi nazo za wakoloni?
 
Kwahiyo Zanzibar inatutawala?

Mfano wako ni irrelevant

Nyerere kuwapa hao wapuuzi eneo sio sheria ni mtazamo wa kisiasa enzi za Uhuru huwezi kuwa valid currently
Sioni sababu ya kuipigia kelele hii ishu ndogo.
Tanganyika ina ardhi km za mraba zaidi ya laki tisa na hatujazifanyia lolote la maana tunateswa na kakipande kidogo tena wamepewa watu tulioungana.

Kama Nyerere kuwapa ilikuwa ni ishu ya kisiasa je hujui hata Muungano kiuhalisia ni suala la kisiasa?

Siasa ndio kila kitu, siasa ni uchumi na siasa ni maisha.

Note: siasa huamua kila kitu duniani....fikiri kidogo tu
 
Wewe unaona Tanzania ina ardhi kubwa? Kweli watanzania wengi mpo chini sana kiuwezo kufikiri

Taifa lenye akili hulinda ardhi yake kuliko kitu chochote kile sasa leo unasema eti Tanzania ina eneo kubwa huoni shida wageni kupewa ardhi na possibly wewe ni baba au upo sehemu umeajiriwa unafanya naamamizi kwa niaba ya serkali


Nyerere aliwapa hifadhi ya eneo kisiasa lazima tuwapokonye warudi kwao ardhi yetu ni ndogo haitoshi

Kwa population ya tanganyika million 55+ plus kila mtanzania akiamua kushika kipande cha ardhi itatokea vita leo unasema ardhi inatosha wapewe wageni aiseee!

Ujinga huu wa watanganyika ndio ntaji wa wazazinzibari
Sioni sababu ya kuipigia kelele hii ishu ndogo.
Tanganyika ina ardhi km za mraba zaidi ya laki tisa na hatujazifanyia lolote la maana tunateswa na kakipande kidogo tena wamepewa watu tulioungana.

Kama Nyerere kuwapa ilikuwa ni ishu ya kisiasa je hujui hata Muungano kiuhalisia ni suala la kisiasa?

Siasa ndio kila kitu, siasa ni uchumi na siasa ni maisha.

Note: siasa huamua kila kitu duniani....fikiri kidogo tu
 
Wewe unaona Tanzania ina ardhi kubwa? Kweli watanzania wengi mpo chini sana kiuwezo kufikiri

Taifa lenye akili hulinda ardhi yake kuliko kitu chochote kile sasa leo unasema eti Tanzania ina eneo kubwa huoni shida wageni kupewa ardhi na possibly wewe ni baba au upo sehemu umeajiriwa unafanya naamamizi kwa niaba ya serkali


Nyerere aliwapa hifadhi ya eneo kisiasa lazima tuwapokonye warudi kwao ardhi yetu ni ndogo haitoshi

Kwa population ya tanganyika million 55+ plus kila mtanzania akiamua kushika kipande cha ardhi itatokea vita leo unasema ardhi inatosha wapewe wageni aiseee!

Ujinga huu wa watanganyika ndio ntaji wa wazazinzibari
uwe hodari
 
Back
Top Bottom