wilcoxon
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 1,094
- 2,831
Kweli mkuu sisi tukae kwa kutulia tuendelee kula ugali😅😅 hakuna tukijuacho kwa hawa miambaWakae watu na akili zao wenye pesa na wawekeze...we inakuja kusema itakua ya hovyo🤣🤣🤣...sisi Kama mashabiki tukae kwa kutulia...unaeza kuta ikawa nzuri.....maana watu hawawezi kutoa Jambo zito Kama hili bila kujipanga