UEFA yatishia kuzipiga 'ban' klabu kubwa barani ulaya kwenye michuano yote

Wakae watu na akili zao wenye pesa na wawekeze...we inakuja kusema itakua ya hovyo🤣🤣🤣...sisi Kama mashabiki tukae kwa kutulia...unaeza kuta ikawa nzuri.....maana watu hawawezi kutoa Jambo zito Kama hili bila kujipanga
Kweli mkuu sisi tukae kwa kutulia tuendelee kula ugali😅😅 hakuna tukijuacho kwa hawa miamba
 
Maana yake amemaanisha kila klabu muanzilishi atalamba hizo Euro 3.5 kwa lengo mahsusi la kusaidia miundombinu ya mipango ya uwekezaji na kuondokana na madhara yaliyoletwa na janga la Corona. Kwa mantiki hiyo, hizi pesa bila shaka zitatokana na hela atayoimwaga "prospective sponsors" wa hii ligi.
Ni biashara mkuu hizi hela zitakuja tu automatically kabumbu likianza wote watanufaika
 
Mzigo ni mkubwa saana, Euro3.5billion kila Club founder itapata - hii ni sawa Tshs. Trillion 9.7; Hakuna Club itagoma hata huyo PSG ataingia tu.

Tusahihishane maana hii ni lugha ya wenyewe - Euro 3.5billion wagawame Club zote zitakazokubaliana ambazo zitakuwa 12 ama kila moja itapata kiasi hiki kama nilivyoelewa mimi?




"In exchange for their commitment, Founding Clubs will receive an amount of €3.5 billion solely to support their infrastructure investment plans and to offset the impact of the COVID pandemic."

Florentino Perez, President of Real Madrid and the first Chairman of the Super League said: "We will help football at every level and take it to its rightful place in the world. Football is the only global sport in the world with more than four billion fans and our responsibility as big clubs is to respond to their desires."
Wamesema founders zitakuwa clubs 15 na team 5 zitakuwa kwenye qualifying annually jumla zishiriki team 20
 
Yaani huu mgogoro ni mrefu sana, wao kuwapiga ban wachezaji kutokucheza kwenye team zao za Taifa ndio wanaharibu kabisa, na hapa ndipo kwenye maumivu zaidi kwasababu itafika mahali baadhi ya Mataifa yatakataa kupoteza nyota wao so itabidi wagome ama waishinikize FIFA kuwaruhusu, yaani huu mgogoro unahitaji busara kubwa sana kuutatua la sivyo wakienda kwa mihemko basi wanaenda kuharibu kila kitu.
Ndio wanakaa kukubaliana
 
Haya maamuzi ndio yangeliamua uzito wa hili suala. Sasa ni wazi ESL inaweza kutokea kweli na nionavyo UEFA itaungana nao kuboresha mtindo wa haya mashindao.
-
No exclusion from the Champions League or Europa League will happen. The semi-finals will be played on their respective dates. (Source: ESPN)
 
Haya maamuzi ndio yangeliamua uzito wa hili suala. Sasa ni wazi ESL inaweza kutokea kweli na nionavyo UEFA itaungana nao kuboresha mtindo wa haya mashindao.
-
No exclusion from the Champions League or Europa League will happen. The semi-finals will be played on their respective dates. (Source: ESPN)
Unajua kitu kikubwa ambacho mashabiki hatuelewi ni kuwa hakuna legal foundations kwa hizi football governing bodies za kuweza kuzuia ESL isitokee.

Hizi governing bodies wateja wao ni vilabu au nchi ambao ni wanachama wao, wao wapo kwakuwa hizo clubs na nations zipo. So kama hizo clubs zikiamua kujitoa hakuna wanachoweza kufanya.

Ni sawa na kuwa una duka na wateja wakaamua kutokuja kununua kwako hauwezi kuwafanya chochote.

So FIFA and co waache mikwara waangalie feasible ways ambazo zitaleta maridhiano kati yao na klabu husika.
 
Unajua kitu kikubwa ambacho mashabiki hatuelewi ni kuwa hakuna legal foundations kwa hizi football governing bodies za kuweza kuzuia ESL isitokee.

Hizi governing bodies wateja wao ni vilabu au nchi ambao ni wanachama wao, wao wapo kwakuwa hizo clubs na nations zipo. So kama hizo clubs zikiamua kujitoa hakuna wanachoweza kufanya.

Ni sawa na kuwa una duka na wateja wakaamua kutokuja kununua kwako hauwezi kuwafanya chochote.

So FIFA and co waache mikwara waangalie feasible ways ambazo zitaleta maridhiano kati yao na klabu husika.
Absolutely!

Ni vile FIFA ilitangulia na kujikuta na wanachama wengi, lakini mifumo ni vyama tu mwenye wafuasi wengi anafaidika zaidi kutoka kwao.

Ikitokea kikatokea chama kingine tufauti na FIFA naamini mataifa na vilabu kadhaa vitachagua upande. Kwa mataifa naona FIFA ikipewa kwa heli na wengi hasa Afrika na Asia, maana mfumo wake umewalenga EU na Americas.
 
Yes hao jamaa ni corrupt sana na hawana transparency ndio maana maofisa wengi waandamizi wa FIFA na UEFA huwa wanakubwa sana na scandals za rushwa.

Ndio maana Perez anawahoji kuwa kwanini mishahara yao haijulikani kwa public. Wanaficha nini?
Waliniudhi sana kutompatia Morocco uandaaji wa World Cup 2026 maana alistahili.
 
Kwani mpira ni Nini kama sio pesa? Leo Halaand hawezi kucheza Arsenal kea sababu Arsenal haishiriki Uefa na hivyo haina pesa. Football is all about money not otherwise
Ni lini aseno imewahi kuwa na ela
 
Mkuu,wasiojulikana wa bongo ni hatari..dk sifuri tu wanamshusha Perez 6 feets under..

Hahaha,sema kweli..Perez yale yanakuwa mamafya kweli,yanaweza kuwa na intelligence security kushinda hata maraisi wa nchi zetu maskini.
Akina Perez ni Mafioso/cartels ww usiwachukulie poa kwa kuwa wamejificha kwenye football...
 
Arsenal itolewe haraka kwenye super league waweke hata lecister city ..


Nasema uongo ndugu zangu
 
Back
Top Bottom