BSL
Member
- Dec 15, 2018
- 86
- 98
ndg zangu wana jamii forum kesho nategemea kuanza safari ya kuelekea dar baada ya kumaliza kazi za kiofisi arusha majira ya saa 8 za mchana ,najua kabisa nitafika usiku mnene ,ningependa mwanajamii mwenzagu anipokee ili kuimalisha udungu ,waweza weka namba zako simu nitakupigia ili unielekeze nikifika ubongo unipokee.