Mandingo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 5,531
- 6,593
Ni kweli mjumbe choza ndo maana unaambiwa kuwa makini barabarani Sawa tanroads ndio Wana kosa sababu ya shimo ila dreva wa lorry asilimia 80% ni mzembe ndo maana akalifuata basi na kuliparamia sababu hakuwa makini na inawezekana jamaa hakupata mambo yetu(mirungi) kama wengi wanavyotumia na mi nakubaliana na mbatia malori yawe yanasafiri usiku
Mkuu kwa taarifa yako dereva wa lorry alijitahidi sana kupiga breki angalia gali na tairi za lorry zilipo anza kupiga breki hadi kwenye basi.Pale TANROADS ndio mtuhumiwa namba moja akifuatiwa na dereva wa bus sababu dereva wa lorry alivyo piga breki ndio nalile kontena lilihama na kulivamia bus.