hili file yawezekana kabisa ni lakutoka tcu kwenda chuo ili chuo kifanye selection.. Labda niwaeleweshe taratibu zinavyokua.. Baada ya wanafunzi kuomba vyuo tcu huchukue yale maombi na kuyapeleka kwa vyuo husika, vyuo huchagua majina inauoyataka na kisha kuyarudisha yale waliyoyachagua na waliyoyakataa.. Kisha tcu humalizia mchakato na kuyatangaza.. Kwahiyo unaweza kuona jina lako hapo lakini mwisho wa siku usiwepo