UDSM Programming - Hawajui kwenda na wakati

UDSM Programming - Hawajui kwenda na wakati

NullPointer

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2011
Posts
3,461
Reaction score
2,275
Mimi hua ni mfuatiliaji sana wa mambo hasa ya technology. UDSM kama chuo kinachoongoza Tanzania nilikua nategemea watakua mstari wa mbele kuendana na mabadiliko kwenye technology.

Nimepitia Syllabus yao ya hawa wanaoenda kusoma Computer Science/Engineering, yaani first year semester zote mbili Introduction to programming in Pascal.

Hivi nani dunia hii bado anatumia Pascal? Why learn a language ambayo hutokuja kuitumia mbeleni hata siku moja, hakuna industry inatumia Pascal siku hizi, na hakuna anayetafuta kujiajiri au kuajiri mtu mwenye experience na Pascal.

Miaka yote naona course outline haibadiliki, hawapangi kitu kipya, everything is old. Kuna languages nyingine nyingi nzuri zinazofaa kumpa mtu introduction into Programming, Python being one of them au angalau C japo watu wanalia "pointers, dynamic memory allocation" ila ni vitu vikielezwa vinazoeleka vizuri tu. No wonder serikali inalalamika daily kua watu vijana wanaomaliza Tanzania hasa engineering courses hawana uwezo wa kujiajiri.

Ni vizuri kuwapeleka speed wanafunzi kuanzia mwaka wa kwanza sio wanagusa vitu boring wanapoteza interest.
 
Aisee! yaani hatua ile ya Elimu mtu anafundishwa Pascal!

Ni hatari sana.

Watanzania watachelewa sana kuwa wataalamu katika ulimwengu wa "Programming".
 
Mimi hua ni mfuatiliaji sana wa mambo hasa ya technology. UDSM kama chuo kinachoongoza Tanzania nilikua nategemea watakua mstari wa mbele kuendana na mabadiliko kwenye technology.

Nimepitia Syllabus yao ya hawa wanaoenda kusoma Computer Science/Engineering, yaani first year semester zote mbili Introduction to programming in Pascal.

Hivi nani dunia hii bado anatumia Pascal? Why learn a language ambayo hutokuja kuitumia mbeleni hata siku moja, hakuna industry inatumia Pascal siku hizi, na hakuna anayetafuta kujiajiri au kuajiri mtu mwenye experience na Pascal.

Miaka yote naona course outline haibadiliki, hawapangi kitu kipya, everything is old. Kuna languages nyingine nyingi nzuri zinazofaa kumpa mtu introduction into Programming, Python being one of them au angalau C japo watu wanalia "pointers, dynamic memory allocation" ila ni vitu vikielezwa vinazoeleka vizuri tu. No wonder serikali inalalamika daily kua watu vijana wanaomaliza Tanzania hasa engineering courses hawana uwezo wa kujiajiri.

Ni vizuri kuwapeleka speed wanafunzi kuanzia mwaka wa kwanza sio wanagusa vitu boring wanapoteza interest.

Natamani sana kujifunza IT hasa programming ingawa sina basic yoyote. Wapi naweza kupata hyo elimu kwa muda nje ya muda wa kazi??
 
Natamani sana kujifunza IT hasa programming ingawa sina basic yoyote. Wapi naweza kupata hyo elimu kwa muda nje ya muda wa kazi??

Programming hakuna source nzuri zaidi ya internet. Kuna kila kitu unachotaka kujua kwenye internet.
Kama ndio unaanza kabisa from scratch ni vizuri kuanza na video tutorials ili uweze kuona na kumsikia mtu anaelekeza cha kufanya la si hivyo mwanzo unaweza kuuona mgumu sana kama utaanzia kwenye kusoma maandishi.

Kuna videos nyingi sana za programming Youtube, unachagua language unayotaka kuanza nayo, ntakushauri uchague kati ya Python au C, Python ni nyepesi iko juu juu, C ni challenging kidogo kuliko Python japo inakufundisha mambo mengi zaidi kwa sababu ina features nyingi ambazo zinakuruhusu kuaccess mambo ya chini kabisa kwenye computer ambayo Python imejaribu kuyaficha usiguse.

Kama utachagua Python unaweza anza na hizi videos hapa
https://www.youtube.com/watch?v=HBxCHonP6Ro&list=PL6gx4Cwl9DGAcbMi1sH6oAMk4JHw91mC_

Kama utapenda kuanza na C pia videos hizi hapa
https://www.youtube.com/watch?v=2NWeucMKrLI&list=PL6gx4Cwl9DGAKIXv8Yr6nhGJ9Vlcjyymq

Hiyo ni playlist, unaangalia video moja hadi nyingine.
Huyo jamaa anafundisha kuanzia basics kabisa ana-assume huna experience yoyote na programming. Ukimaliza playlist hiyo sasa kama hujui uende direction ipi unaweza rudi kuuliza, kuna sehemu nyingi tu za kwenda. At first inaweza ikawa boring ila itafika muda utaona utamu wake,unaweza ukaona tatizo lolote lile duniani linaweza likawa solved kwa programming.
 
Eh bana tuende mbele turudi nyuma udom pale informatics wapo vzuri mi pia nakwazwa sana na hili swala la udsm kusoma pascal yani sijui wanafikiria nin hawa jamaa dunia tuliyonayo sasa sio ya pascal aseh naomba wahusika wapite huku wabadili huu uwozo
 
hapa UDOM Informatics ukikutana na Massoud au babu mselle ni noma aisee,,
 
Mimi hua ni mfuatiliaji sana wa mambo hasa ya technology. UDSM kama chuo kinachoongoza Tanzania nilikua nategemea watakua mstari wa mbele kuendana na mabadiliko kwenye technology.

Nimepitia Syllabus yao ya hawa wanaoenda kusoma Computer Science/Engineering, yaani first year semester zote mbili Introduction to programming in Pascal.

Hivi nani dunia hii bado anatumia Pascal? Why learn a language ambayo hutokuja kuitumia mbeleni hata siku moja, hakuna industry inatumia Pascal siku hizi, na hakuna anayetafuta kujiajiri au kuajiri mtu mwenye experience na Pascal.

Miaka yote naona course outline haibadiliki, hawapangi kitu kipya, everything is old. Kuna languages nyingine nyingi nzuri zinazofaa kumpa mtu introduction into Programming, Python being one of them au angalau C japo watu wanalia "pointers, dynamic memory allocation" ila ni vitu vikielezwa vinazoeleka vizuri tu. No wonder serikali inalalamika daily kua watu vijana wanaomaliza Tanzania hasa engineering courses hawana uwezo wa kujiajiri.

Ni vizuri kuwapeleka speed wanafunzi kuanzia mwaka wa kwanza sio wanagusa vitu boring wanapoteza interest.

Unataka kusema Mwaka mzima wanasoma Pascal tu bila kusomaLanguage nyingine?

Si mtaalamu wa Programming ila Usidharau kitu chochote I have plenty of Good softwares written in Pascal usije hapa kuwaaminisha watu ati Pascal haina maana ulimwengu wa leo.

And Mind You Chuo kama UDSM sidhani kama wao ni ndezi kiasi hicho nachojua Vyuo vya Tanzania wanafundisha Wataalamu wa Kimataifa

Nimesoma Chuo ila kuna vitu tumejjifunza sio Common nchini kwetu ila nchi za jirani vipo,siwezi kusimama kasema chuo changu wali Bugi kunifundisha kitu ambacho hakipo kwetu.

who knows my future? si ajabu kaenda kufundisha au kufanya kazi ambako hicho kitu ambacho nakidharau kipo au kinatumika

Example of app written in Pascal

cLvXar.png


kwa walotumia hizi apps watakwambia mambo yake na nawashauri wanafunzi wote wa UDSM wa hiyo course mtakaosoma thread hii hapa msipuuze mnachofundishwa na Walimu wenu au ma prof wenu kwa kusikiliza eti who Learns Pascal this world,so long as in Programming language jifunzeni tu mnafundishwa muwe watalaamu wa Ulimwengu mzima na hauwezi kuwa mtalaam kwa ku Ignore vitu ambavyo haujui labda ungekua wewe ndo expert kuzidi vile mleta mada anavyotaka walimu wenu wawafundishe
 
Programming hakuna source nzuri zaidi ya internet. Kuna kila kitu unachotaka kujua kwenye internet.
Kama ndio unaanza kabisa from scratch ni vizuri kuanza na video tutorials ili uweze kuona na kumsikia mtu anaelekeza cha kufanya la si hivyo mwanzo unaweza kuuona mgumu sana kama utaanzia kwenye kusoma maandishi.

Kuna videos nyingi sana za programming Youtube, unachagua language unayotaka kuanza nayo, ntakushauri uchague kati ya Python au C, Python ni nyepesi iko juu juu, C ni challenging kidogo kuliko Python japo inakufundisha mambo mengi zaidi kwa sababu ina features nyingi ambazo zinakuruhusu kuaccess mambo ya chini kabisa kwenye computer ambayo Python imejaribu kuyaficha usiguse.

Kama utachagua Python unaweza anza na hizi videos hapa
https://www.youtube.com/watch?v=HBxCHonP6Ro&list=PL6gx4Cwl9DGAcbMi1sH6oAMk4JHw91mC_

Kama utapenda kuanza na C pia videos hizi hapa
https://www.youtube.com/watch?v=2NWeucMKrLI&list=PL6gx4Cwl9DGAKIXv8Yr6nhGJ9Vlcjyymq

Hiyo ni playlist, unaangalia video moja hadi nyingine.
Huyo jamaa anafundisha kuanzia basics kabisa ana-assume huna experience yoyote na programming. Ukimaliza playlist hiyo sasa kama hujui uende direction ipi unaweza rudi kuuliza, kuna sehemu nyingi tu za kwenda. At first inaweza ikawa boring ila itafika muda utaona utamu wake,unaweza ukaona tatizo lolote lile duniani linaweza likawa solved kwa programming.

Nullpointer, asante sana kwa ushauri wako mzuri. Naanza kuufanyia kazi kuanzia leo. Napenda sana hii kitu programming. Asante sana
 
Aisee! yaani hatua ile ya Elimu mtu anafundishwa Pascal!

Ni hatari sana.

Watanzania watachelewa sana kuwa wataalamu katika ulimwengu wa "Programming".

Eh bana tuende mbele turudi nyuma udom pale informatics wapo vzuri mi pia nakwazwa sana na hili swala la udsm kusoma pascal yani sijui wanafikiria nin hawa jamaa dunia tuliyonayo sasa sio ya pascal aseh naomba wahusika wapite huku wabadili huu uwozo

Ungependekeza nini wewe miaka yao ya masomo hiyo mitatu sijui minne wasome nini na nini kila semester?
Ila pia Jiulize are u better than UDSM lecturers?
kati ya sehemu napopaheshimu kwa level za Elimu Tanzania ni Chuoni tena Chuo kikubwa kama UDSM mm mtu hawezi nishawishi eti Wanachofundishwa hakifai...

Msifate Mkumbo wakuu kila mtu atakuwa mtalaamu wa kitu chake Unique usitake force kila mtu awe mtalaamu kile tu unachowaza wewe kina soko au kina wide varieties of perfomance
 
Programming hakuna source nzuri zaidi ya internet. Kuna kila kitu unachotaka kujua kwenye internet.
Kama ndio unaanza kabisa from scratch ni vizuri kuanza na video tutorials ili uweze kuona na kumsikia mtu anaelekeza cha kufanya la si hivyo mwanzo unaweza kuuona mgumu sana kama utaanzia kwenye kusoma maandishi.

Kuna videos nyingi sana za programming Youtube, unachagua language unayotaka kuanza nayo, ntakushauri uchague kati ya Python au C, Python ni nyepesi iko juu juu, C ni challenging kidogo kuliko Python japo inakufundisha mambo mengi zaidi kwa sababu ina features nyingi ambazo zinakuruhusu kuaccess mambo ya chini kabisa kwenye computer ambayo Python imejaribu kuyaficha usiguse.

Kama utachagua Python unaweza anza na hizi videos hapa
https://www.youtube.com/watch?v=HBxCHonP6Ro&list=PL6gx4Cwl9DGAcbMi1sH6oAMk4JHw91mC_

Kama utapenda kuanza na C pia videos hizi hapa
https://www.youtube.com/watch?v=2NWeucMKrLI&list=PL6gx4Cwl9DGAKIXv8Yr6nhGJ9Vlcjyymq

Hiyo ni playlist, unaangalia video moja hadi nyingine.
Huyo jamaa anafundisha kuanzia basics kabisa ana-assume huna experience yoyote na programming. Ukimaliza playlist hiyo sasa kama hujui uende direction ipi unaweza rudi kuuliza, kuna sehemu nyingi tu za kwenda. At first inaweza ikawa boring ila itafika muda utaona utamu wake,unaweza ukaona tatizo lolote lile duniani linaweza likawa solved kwa programming.

Mkuu kwanza kabisa heshima mbele,
Nami ni mmoja kati ya watu walio inlove with Coding ila kwa sasa nimeanza kidoogo kusoma html & css mkuu naweza pata link nzuri yenye vitabu vya hii course!!
 
Ovyo sana, wanatia huruma, stuck in time. Kuna mtu anajua uni yoyote nyingine bado inafundisha Pascal???
 
Unataka kusema Mwaka mzima wanasoma Pascal tu bila kusomaLanguage nyingine?
Si mtaalamu wa Programming ila Usidharau kitu chochote I have plenty of Good softwares written in Pascal usije hapa kuwaaminisha watu ati Pascal haina maana ulimwengu wa leo.
And Mind You Chuo kama UDSM sidhani kama wao ni ndezi kiasi hicho nachojua Vyuo vya Tanzania wanafundisha Wataalamu wa Kimataifa
Nimesoma Chuo ila kuna vitu tumejjifunza sio Common nchini kwetu ila nchi za jirani vipo,siwezi kusimama kasema chuo changu wali Bugi kunifundisha kitu ambacho hakipo kwetu.
who knows my future? si ajabu kaenda kufundisha au kufanya kazi ambako hicho kitu ambacho nakidharau kipo au kinatumika

Mkuu twende mbele turudi nyuma, Pascal is a dead language..

Huo mfano wa app moja iliyoandikwa kwa Pascal doesn't make any difference, Ingeweza kuandikwa vizuri zaidi kwenye language kama C++. Wanaona uvivu kuiamisha tu sababu unaweza kuta codebase ishakua kubwa.

Pascal ilitumika miaka hiyo ya nyuma sana, siku hizi ukikuta industry inatafuta Pascal jua labda wana software ya zamani sana ambazo wanaona zitawacost sana kuziandika upya. Nenda google tafuta jobs uone kama utaona kampuni yoyote ya maana inatafuta mtu anayeandika Pascal. Hakuna hata moja..

UDSM hiyo choice ya language wamekosea, pitia vyuo vyote vikubwa duniani kama utaona kuna hata kimoja wanafundisha Pascal, kuanzia MIT, Harvard, Princeton, Caltech, wote utakuta ni Python au C. Wengine wanagusa Java, no one teaches Pascal nowadays. Hata internet kila kona wanasema its a dead language.

Maybe you should learn more programming iko wapi na inaelekea wapi, new features ni zipi na watu wanafanya nini before commenting. Ya nini kustick na language ambayo in the end you won't do anything significant with it, coz eventually utaiacha tu, kwanza haina support kwa hiyo ukiwa na tatizo utatafuta sana online kupata mtu ambaye angalau anaweza akajibu, pili utataka kuimplement a certain feature itabidi uandike from scratch from zero sababu hutopata library online ya kukufanyia wewe hiyo kazi. In the end hakuna kitu productive mtu anaweza fanya kwenye Pascal. Studying a language is more than just being able to code anything with it, its also about support utakayopata, kama utafanikiwa kutengeneza kitu cha maana, je utapata watu kirahisi kukusaidia kukuza codebase?

Facebook walijaribu kutengeneza Messenger service yao kwa language inaitwa "Erlang" ni very powerful language, hata Whatsapp ndo wanatumia, ila walikosa experts, wakahama language, wakatumia language iliyo na support kubwa. Sasa mtanzania ndo kwanza hata industry yetu iko very low, tuongeze shida tena kutumia languages zisizo na support, mwisho wa siku hakuna kitu tutaproduce
 
Mkuu kwanza kabisa heshima mbele,
Nami ni mmoja kati ya watu walio inlove with Coding ila kwa sasa nimeanza kidoogo kusoma html & css mkuu naweza pata link nzuri yenye vitabu vya hii course!!

Mkuu hakuna kitabu kizuri cha HTML na CSS kama hiki "HTML & CSS: Design & Build Websites" kipo updated ukimaliza hapo HTML haitokusumbua kabisa jamaa kaongelea hadi HTML5. Unaweza download hapa http://wtf.tw/ref/duckett.pdf
 
You are right kijana. Nilianza UD 2004 and they were teaching Pascal by then as introduction to computer programming.If they ain't changed the syllabus to date they are fucking moving backward in technology. Pigeni kunji wabadilishe mtaala.
 
Mkuu kwanza kabisa heshima mbele,
Nami ni mmoja kati ya watu walio inlove with Coding ila kwa sasa nimeanza kidoogo kusoma html & css mkuu naweza pata link nzuri yenye vitabu vya hii course!!

ingia www.w3schools.com
 
Back
Top Bottom