NullPointer
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 3,461
- 2,275
Mimi hua ni mfuatiliaji sana wa mambo hasa ya technology. UDSM kama chuo kinachoongoza Tanzania nilikua nategemea watakua mstari wa mbele kuendana na mabadiliko kwenye technology.
Nimepitia Syllabus yao ya hawa wanaoenda kusoma Computer Science/Engineering, yaani first year semester zote mbili Introduction to programming in Pascal.
Hivi nani dunia hii bado anatumia Pascal? Why learn a language ambayo hutokuja kuitumia mbeleni hata siku moja, hakuna industry inatumia Pascal siku hizi, na hakuna anayetafuta kujiajiri au kuajiri mtu mwenye experience na Pascal.
Miaka yote naona course outline haibadiliki, hawapangi kitu kipya, everything is old. Kuna languages nyingine nyingi nzuri zinazofaa kumpa mtu introduction into Programming, Python being one of them au angalau C japo watu wanalia "pointers, dynamic memory allocation" ila ni vitu vikielezwa vinazoeleka vizuri tu. No wonder serikali inalalamika daily kua watu vijana wanaomaliza Tanzania hasa engineering courses hawana uwezo wa kujiajiri.
Ni vizuri kuwapeleka speed wanafunzi kuanzia mwaka wa kwanza sio wanagusa vitu boring wanapoteza interest.
Nimepitia Syllabus yao ya hawa wanaoenda kusoma Computer Science/Engineering, yaani first year semester zote mbili Introduction to programming in Pascal.
Hivi nani dunia hii bado anatumia Pascal? Why learn a language ambayo hutokuja kuitumia mbeleni hata siku moja, hakuna industry inatumia Pascal siku hizi, na hakuna anayetafuta kujiajiri au kuajiri mtu mwenye experience na Pascal.
Miaka yote naona course outline haibadiliki, hawapangi kitu kipya, everything is old. Kuna languages nyingine nyingi nzuri zinazofaa kumpa mtu introduction into Programming, Python being one of them au angalau C japo watu wanalia "pointers, dynamic memory allocation" ila ni vitu vikielezwa vinazoeleka vizuri tu. No wonder serikali inalalamika daily kua watu vijana wanaomaliza Tanzania hasa engineering courses hawana uwezo wa kujiajiri.
Ni vizuri kuwapeleka speed wanafunzi kuanzia mwaka wa kwanza sio wanagusa vitu boring wanapoteza interest.