Mpaka madogo wote walioko mtaani kwa kukosa mkopo watakapopewa,na hao raia wenzetu 15 walofukuzwa chuo watakapo rejeshwa chuon ndo na sisi tutafungua chuo.
Mpaka madogo wote walioko mtaani kwa kukosa mkopo watakapopewa,na hao raia wenzetu 15 walofukuzwa chuo watakapo rejeshwa chuon ndo na sisi tutafungua chuo.
asprin wewe unawaza mmu tu? kaka hapa jukwaa la ukombozi kaka,mmu ni ya kuingia wakati wa jion kurefresh mind baada ya kupigana vita mchana na mafisadi jukwaa la siasa na hoja mbalimbali.
fix man,kwa kuwa unapajua ud basi ndio unataja as if u know ndani admstn kuna nini,hata kama upo hapo pengine ni unasubiri daladala hapo kituon.naona punga upo kazini.
babu ODM huku hakuwezi,anamwogopa sana ff,rejao na ritz1,kashazoea soft thrds za kina ashaDi, black woman na sweetlady,faisi buku,bebii etc.ngoma hizi haziwezi