Udsm na ufisadi

Snia

Member
Apr 3, 2012
49
6
Hakika uongozi wa chuo hiki umejawa na uozo, tamaa na uzembe haiwezekani mpaka xaxa wanafunzi hawajapewa hela yao ya kujikimu wakat wa mafunzo kwa vitendo, ukizingatia walitangaziwa kuwa malipo yatakamilixhwa tar 22 june, je huu ni uungwana wa MKANDALA na ndugu zake kuchelewexha hela za wanafunz huku zikiendelea kujizalixha kwenye akaunti yao?
 
Walisema ijumaa kila mtu atapewa pesa ya field anayotakiwa kupewa, ila mpaka sasa hawajafanya kitu. Daruso haijasema lolote, wapowapo tu. Coet walipewa kitambo, ila sijui wanafikiri watu wataanzaje field kesho.
 
UDSM kuna utumb.o mtupu yaani hovyo sana hawa DARUSO wote vichaa wachumia tumbo wamenyamaza kimya,kwakweli hawa faida hata kidogo.tena mwaka kesho watapi kura watu 100 tu..
 
UDSM kuna utumb.o mtupu yaani hovyo sana hawa DARUSO wote vichaa wachumia tumbo wamenyamaza kimya,kwakweli hawa faida hata kidogo.tena mwaka kesho watapi kura watu 100 tu..

nikikumbuka walivyotusumbua kwenye kusign, napata hasira zaidi. Ufisadi mtupu.
 
Udsm imebaki jina. Tuliiadabisha sisi enzi za akina Owawa Steven, Anthony Machibya na akina Sillinde David. Boom 2likuwa2kipewa 2weeks b4. Hela za field zilikuwa zikitoka hata Ue ha2jaanza. Ile ndio ilikuwa Udsm. Kuna mwanaharakati toka Duce aliitwa Gwakisa Gwakisa aliwatetemesha watawala kuanzia Mukandala.
 
ni kweli kama mpaka sasa hamjapata Bumu la field ni tatizo!lakini sidhani kama hili ni tatizo la UDSM,
tatizo liko pale BODI ya MIKOPO na hazina! ukizingatia tuna serikali Dhaifu, inayoongozwa na ...Dhaifu,
fedha wanachota kwenda kufanyia ufuska tu badala ya kufikiria kufanya mambo ya msingi kwa
wakati muhafaka!
vitu vingi haviendi kwa mjibu wa ratiba na taratibu! poleni sana vijana!
 
ni kweli kama mpaka sasa hamjapata Bumu la field ni tatizo!lakini sidhani kama hili ni tatizo la UDSM,
tatizo liko pale BODI ya MIKOPO na hazina! ukizingatia tuna serikali Dhaifu, inayoongozwa na ...Dhaifu,
fedha wanachota kwenda kufanyia ufuska tu badala ya kufikiria kufanya mambo ya msingi kwa
wakati muhafaka!
vitu vingi haviendi kwa mjibu wa ratiba na taratibu! poleni sana vijana!

wiki iliyopita daruso walikiri kuwa pesa tayari imeshatumwa chuoni, na coet wakawa wa kwanza kupewa then college nyingine wakasema zitapewa ijumaa. Mpaka sasa HOLA! Na kuna watu wamenza field wakiwa hawana hela ya kula.
 
hawa watu wameamua kutukomesha.!!! ndo mana tukigraduate na si tunakua mafisadi... yani leo nipo fidld muda wa lunch watu wanaagiza kuku mi najifanya busy na documents kumbe mfuko hausomi
 
hawa watu wameamua kutukomesha.!!! ndo mana tukigraduate na si tunakua mafisadi... yani leo nipo fidld muda wa lunch watu wanaagiza kuku mi najifanya busy na documents kumbe mfuko hausomi

duh, pole sana kaka.
 
Ha!hah!ha!vijana nawaonea huruma sana.lakin mbona na nyie mnaanza kuwa wapole ka watoto wa tumaini aisee?
 
UDSM si Ndio mtambo Wa Kutengeneza Mafisadi Wakubwa e.g Lowassa, Kikwete, Riz1, Chenge n.k.
 
Ndugu zangu ukweli ni kwamba mtoa mada hakusoma ujumbe uliotolea na utawala wa chuo chao maana nilipita pale nikaona tangazo lenyewe likisema paylist na siyo pesa kwa CoET na SJMC imetoka na kwamba inategemewa cheki yao itaingia na chuoni toka bodi na italipwa jmatano 20 june. Kwa wengine 6000 na kitu matarajio ni paylist kuwasili chuoni jumatano hiyo na cheki itaingia ijumaa kaajili ya kuandaliwa malipo kuingia kwenye accounts za wanaoenda TP/PT. Soma tangazo vyema.

Napenda kuungana na aliyesema tatizo siyo UDSM wala Bodi ni Hazina. Mtoa mada amesema Mkandala na wenzie ni wezi ila napenda kumkumbusha tu akumbuke kipindi fedha ziliposhindwa kutoka mapema aliwakopesha toka mfukoni mwake na kuomba chuo kitoe fedha za miradi fedha ikija toa Bodi irudishwe, akumbuke ni uongozi huohuo uliwapa coupon za mlo cafeteria na hata hawajalipa fedha zenyewe. Tuache siasa chafu kwenye huu mtandao wa Jamii. Hao kina Silinde, Owawa, Gwakisa na wengineo wangekuwepo wasingefanya lolote kama haiwezekani haiwezekani ikishindikana mtu unaenda nyumbani mpaka utakapotaka kurudi. Hata hao Owawa na Silinde walikua wakipima kama inawezekana wanapambana haiwezekani wanashauri cha kufanya hawakuwa wakifanya ovyoovyo.
 
Nimefanya utafiti nimegundua kuwa pesa ilitoka hazina Alhamisi kwenda bodi, bodi ikapeleka pesa Bank M Ijumaa mchana, Bank M wakahamisha fedha kwend CRDB Jumamosi hivyo UDSM kupitia DVC Mgaya ikatoa cheki kwenda NMB na NBC on the same day. Thanks be to GOD jana jumatatu wenye accounts CRDB walianza kuvuna mpunga, wale wa NBC na NMB watasubiria vya kutosha, hata hivyo kwa mujibu wa Meneja wa NMB Mlimani ni kwamba kumekuwa na mazungumzo kati yao na uongozi wa UDSM ili utaratibu uharakishwe kuokoa jahazi. Kwa wale wa vyuo vingine sijui itakuweje
 
VEMA SANA! VIJANA SASA MCHAPE KAZI MJIFUNZE NA KUPATA UJUZI!
MSIANZE TENA KULEWEA BUMU NA KURUBUNI MAAHOUSE GIRLS, VITOTO VYA SHULE
N.K.! Lakini kama kawa wengine mtachapa ulabu weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee..
mnaishia kupiga vibomu maeneo ya TP/PT mpaka mnaboa! wenye hivo vijitabia
waache mara moja!:A S confused:

Nimefanya utafiti nimegundua kuwa pesa ilitoka hazina Alhamisi kwenda bodi, bodi ikapeleka pesa Bank M Ijumaa mchana, Bank M wakahamisha fedha kwend CRDB Jumamosi hivyo UDSM kupitia DVC Mgaya ikatoa cheki kwenda NMB na NBC on the same day. Thanks be to GOD jana jumatatu wenye accounts CRDB walianza kuvuna mpunga, wale wa NBC na NMB watasubiria vya kutosha, hata hivyo kwa mujibu wa Meneja wa NMB Mlimani ni kwamba kumekuwa na mazungumzo kati yao na uongozi wa UDSM ili utaratibu uharakishwe kuokoa jahazi. Kwa wale wa vyuo vingine sijui itakuweje
 
Vumbi tupu zimewajaa sifa sana, nyie si mnajifanya vijogoo? Gomeni sasa mkiambiwa serikal ni dhaifu mnabisha...
 
Back
Top Bottom